Uhaba wa Balimi Morogoro

Uhaba wa Balimi Morogoro

Hahahahhaa balimi kitu poa sana kipindi hiki kigumu
 
Hii balimi ilipikwa maalum kwa wakaazi wa Mwanza hasa Geita, imefikaje Morogoro? Magufuli kiboko.
 
Aiseh! Kwel dunia uwanja wa fujo! Zaman ukiagiza castle light,safar, na serengeti unaonekana masikin! Henken ilikuwa bia ya midle level@ now balimi imekuwa almasi!
Balimi mkomboz wa wanyonge
Umesahau na savanah
 
Kuna siku nikaitest Balimi nikapiga kama9 hivi,aisee kesho yake nilichokipata sitasahau.
 
Tuma km 20000hv uone maajabu ya dunia yaan ni Asubuhi tu.
Tehteh,hapa nimepiga Balimi za kutosha sasa naelekea Mo town kupiga mbili za 3,000/ niuze sur a na kuchukua cheche nikalale.
 
Tafadhalil tafadhali Morogoro kuna uhaba wa bia pendwa ya balami,kwa heshima na taadhima tunaomba haraka sana mtusambazie bia yetu pendwa kwani kwa jinsi mkuu alivyobana tutaua kwa njaa familia zetu ikiwa bia pendwa zitaendelea kuadimika.
Bia yetu kanda yetu
Magufuli endelea kutunyoosha tuanze kunywa soda kijoti baa😀😀
 
Back
Top Bottom