Recent content by davieson

  1. D

    Aayaaah BUJIBUJI kumbe ni wa KIKE

    anakaa nanii apo...dume ilo linawangua tuu wakuu tena mtu wa kigoma nyakanazi
  2. D

    Kampuni hizi za Mabasi vipi?

    juzi natoka iringa nmepanda gar lililotokea mbeya linaitwa majinja special...km speed boat au jet aisee yan ikila mzinga haponi mtu. ila somthng fun bout ilo basi kila siti in home switch ukutani
  3. D

    Hip Hop tumewakosea nini mabinti?

    kuna ngoma nying za hiphop ni nzur...mi napenda mziki mzuri..i lyk councious!! mziki frm tamaduni musiq na weusi ndo aina ya hiphop ambayo wanawake wanapenda. umeona style ya gnako aluvyoswitch..unaona rap style ya kina joh makin n stereo!! waschana classic na hata wasiopenda kabisa hiphop...
  4. D

    Hivi kweli Anne Makinda angeuza maandazi kama asingeshinda Ubunge 1995?

    angekuwa amebadili mfumo wa biashara tui..zaman alikua fundi cherehan..(kushona nguo)
  5. D

    Saikolojia ya nguo fupi na zinazobana(tight) na kuacha manyonyo nje.

    women are alwayz dressing to impress men...wanachopenda kuona wanaume ndicho kitadetermin fashion trend ya wanawake..ryt nw we wana c big booties n boobs..nafkir ndo maana vinaachwa waz sana iv viwil
  6. D

    Mjue Nyangumi (Whale): Sifa, uwezo na maisha yake

    sio pekee...mamalia wengine ni dolphin na blue seal pia
  7. D

    Mjue Nyangumi (Whale): Sifa, uwezo na maisha yake

    kwenye sauti iyo fact nmeipenda....lakin nkurekebishe mkuu. jet sound reaches 140 decibles inapoacha ground coz maskio ya mwanadamu hupata maumiv na kuathirika pale sauti inapozidi 130 decibles. wakuu sauti ya binadamu kali kuliko zote inareach only 70 decibles. ha haaa haaa
  8. D

    Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

    stori ya lilith km mke wa kwnz wa adamu inaonekana kwenye genesis 1:27....mungu akaamuumba mwanamme na mwanamke kwa mfano wake... ukija genesis 2:21.. mungu akampa usingizi mzito adam kisha akamtoa ubavu wake wa kushoto ndo akamuumba eva. hapa unaeza pata picha flani wakuu.
  9. D

    Waliofahamika kupitia migongo ya mastaa..

    kajala alipata umaarafu miaka ya nyuma kupitia prodyuza maaruf p funk majani ndo aliekua bwana ake kajala mjin badae wakaachana. she was famous before iyo mnayoita tasnia ya bongo movie, bfore wema yupo o levo anasoma..p funk aliwai kusema kauli hii baada ya kumuacha uyu dem.."i took a gal frm...
  10. D

    Soma hapa hizi related issue kuhusu ndege ya malaysia iliyopoea..... China vs USA

    am waiting for consipary theory...US z ver smart wanaweza fanya iyo kitu na haitanishangaza
  11. D

    Nahitaji binti Mnyantuzu/Msukuma wa kuoa

    we unaoa kabila au mwanamke?
  12. D

    watanzania millioni 8 kufa kwa kansa ya damu chanzo simu za touch

    yap jambo la kwel ni kwamba mechanism ya touch screen kwa technologia hii ya ss vioo vyake viko ver thin ili kuongeza accuracy ya kutype au kubofya chcht kwny screen. vioo hivi viko sensitiv kwa vitu vyvyt smooth vitakavogusa juu yake ambavyo smoothnes ya surface yake ikaribiane na human skin...
  13. D

    Angalia picha hizi mbili za meza, utafikiri moja ni ndefu lakini ukipima zote ziko sawa

    eyes illusion...u fool ur own mind...uref upana ni sawa kabisa meza zote mbili.
  14. D

    Habari marafiki wote wa jamii naomba msaada au wazo kuhusu vidonge vya kuwa mweupe

    once u go black u neva go back...!! jiulize kwann unataka weupe!!!? nan anaona weusi haukupendezi? ingia ndan yako jiulize (self introspection)
Back
Top Bottom