Jana nimeota wameni ibia vitu vyangu vyote ndani nikaenda kwa mjumbe hivi muhuni muhuni amenivalia mzura kumwambia akawa ananicheka harafu akaniambia nitaje list ya vilivyoibiwa ni kataja huku akiwa anaandika chini sio kwenye karatasi baadae akaniambia niende tu nitavipata nikabaki nashangaa...
Pamoja na kuchepuka kwake haija kupunguzia uzito we usiji stress kihivyo maana maisha hayawezi kwenda vile unavyotaka wewe bali imani tu ndio ulinzi wa mazingira yetu duniani
Mimi huwa najaribu kuomba nikinyimwa na kuwa mpole dushe likinizonga na mawazo huwa nafanya mazoezi au kusoma vitabu ili nisiteseke kisaikologia
Just joking
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.