Nyie wakike kwanini mnatunyima..?

Nyie wakike kwanini mnatunyima..?

Naanzaje kuliwa Kimasihara
Tabia za uzinzi zina dazeni katika njia zake; zama za nyuma kidogo alitokea mtu akamfuata alietumwa kuwatoa watu katika dhulma,ushirikina,mauaji na kila aina ya uchafu. Akamwambia "Mimi nna hamu ya kumuingilia mwanamke" Mwalimu yule akamuuliza ungependa mwanao,mdogo wako,mama yako,shangazio afanyiwe hivyo? Akasema hapana! Akaambiwa; kadhaalika hao uwatakao ni watoto,dada......za wenzio nao hawapendi ila kwa taratibu za kisheria kwa maana ya ndoa. Acha uzinzi. Blalifish.
 
Tabia za uzinzi zina dazeni katika njia zake; zama za nyuma kidogo alitokea mtu akamfuata alietumwa kuwatoa watu katika dhulma,ushirikina,mauaji na kila aina ya uchafu. Akamwambia "Mimi nna hamu ya kumuingilia mwanamke" Mwalimu yule akamuuliza ungependa mwanao,mdogo wako,mama yako,shangazio afanyiwe hivyo? Akasema hapana! Akaambiwa; kadhaalika hao uwatakao ni watoto,dada......za wenzio nao hawapendi ila kwa taratibu za kisheria kwa maana ya ndoa. Acha uzinzi. Blalifish.
Hata sijui nikujibuje, ila wewe pia uache uzinzi
 
Mimi huwa najaribu kuomba nikinyimwa na kuwa mpole dushe likinizonga na mawazo huwa nafanya mazoezi au kusoma vitabu ili nisiteseke kisaikologia
Just joking
 
Umenikera sana,kwani mimi nina mabinti wawili wakubwa..... halafu wewe badala ya kufikiri ndoa unafikiri kuwatia tu! Shz sana.
Najikuta nacheka sana, sikujua kama una mabinti wakubwa wawili alafu Baba yao anawawazia ndoa badala ya uwawazia maisha watakayo ishi huko ndoani.

Waza kuwajengea maisha ya kujitegemea kabla hawajaolewa maana wakiolewa hawatapata shida maana wanajua kutafuta hela. Na uwaambie wanaume wajanja sana wanapenda kichwa smart kinachowaza mafanikio

Pili mimi siyo mkaka ni binti.
 
Najikuta nacheka sana, sikujua kama una mabinti wakubwa wawili alafu Baba yao anawawazia ndoa badala ya uwawazia maisha watakayo ishi huko ndoani.

Waza kuwajengea maisha ya kujitegemea kabla hawajaolewa maana wakiolewa hawatapata shida maana wanajua kutafuta hela. Na uwaambie wanaume wajanja sana wanapenda kichwa smart kinachowaza mafanikio

Pili mimi siyo mkaka ni binti.
Mwisho wa kuwajengea maisha.....ni waolewe. That's a point
 
Back
Top Bottom