Rais Magufuli anaiogopa CHADEMA sana

Rais Magufuli anaiogopa CHADEMA sana

Ndugu,

Nimeamini leo kuwa Rais Magufuli anaiogopa Chadema sana na kwanza hana ubavu wa kukaa nao meza moja.
Anaonekana mtu mwenye kinyongo sana na Chadema. Yupo tayari kuonana na viongozi wote Wa upinzani lakini sio Chadema.

Lakini pia nimejifunza kitu na ninapenda kuwataarifu kuwa Chadema isimchukue Membe kuwa mgombea wake bali iendelee na TL pekee, Membe ni mkakati na wao, sana lao moja.

Hata kama membe akienda ACT basi Chadema isimamishe mgombea wake nimeshaona harufu ya kuivuruga Chadema kupitia Membe. Rais Magufuli ni muoga sana wa Chadema na ana kinyongo sana.

Swelana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwani muda wa kuonana na viongozi wa vyama vya upinzani umeishia leo ?
 
Umetumiwa barua ya kuomba huruma yako kutoka Chadema au ni kiherehere chako ?

Machozi yenu ya kuonewa huruma yanaonekana ulimwengu mzima. Mpaka leo 2020 Chadema ndio chama pekee bado kina mbinu za kizamani za kukamatana na polisi ili tu kipate huruma ya wanachi.
 
Kujipa matumaini hewa na kujifurahisha pia ni njia mojawapo katika kupitia hali ngumu ya kimaisha!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hamna cha kujipa moyo, matumizi makubwa ya nguvu ili kuiua cdm kila mtanzania anajionea. Hujuma za wazi kwa cdm kama chama, wanachama, washabiki hadi viongozi wake yote hayo ni kuonyesha kuwa cdm ndio yenye mvuto, hivyo nguvu za vya vyombo vya dola na matumizi mabaya ya madaraka ni lazima yatumike ili kuiua cdm. Uzuri wananchi walio wengi wana uelewa mpana wa mambo na ukweli, bado watabaki na msimamo wao wa kile wanachokipenda.

Ccm sio chama cha kizazi hiki bali ni chama cha kizazi kilichopita. Hii ndio sababu inabidi itumike nguvu kubwa ikiwemo wizi wa kura, mauaji dhidi ya wapinzani ili kuutia umma hofu ili ccm iendelee kukaa madarakani. Lakini hilo ni jambo la muda tu, kwani ni lazima ccm ikae maana inashindana na muda. Je kile chama cha Tiss kinaanzishwa lini ili kuchukua nafasi ya cdm? Au Membe ndio anaandaliwa na dola kuanzisha chama hicho?
 
CDM gani inayoogopwa..? Hii hii iliyobakiwa na watu watano..? Ambao ukiwauliza ivi itikadi na sera yenu ni ipi ? Kila mmoja hajui anapigania nini ...!! Majibu ndio kichekesho..!! Kuna mmoja anaweza kusema hatuzitaki ndege na mwingine SGR ndio adui wetu, na mwingine aweza sema chanzo cha matatizo yetu ni ' interchange inayojegwa ubungo ' ..... mimi binafsi nachukia sana CDM kuua upinzani ambao ulijengwa kwa gharama kubwa sana huko nyuma...Kazi ya kuujenga upya Upinzani sio lelemama... Haya Membe huyooo wasije wakatangaza ku change gear ANGANI ....!!
 
Machozi yenu ya kuonewa huruma yanaonekana ulimwengu mzima. Mpaka leo 2020 Chadema ndio chama pekee bado kina mbinu za kizamani za kukamatana na polisi ili tu kipate huruma ya wanachi.
Unaonesha ni namnagani ulivyo punguwani. Chadema ina mamlaka gani ya kuwaamrisha polisi wa nchi hii? Humu tunawea kuwa tuna jadili na vilaza kumbe.pole
 
Mi labda nichukue Fursa hii kuwaambia Watanzania kuwa upinzani upo imara kuliko wao wanavyodhani, huwezi kumuhonga mtu Kama Seif kwa cheap politics za divide and rule, mikutano hii ya Leo ina lengo la ku gain international recognition kwamba sasa Tanzania wote wanaongea lugha moja na wamekaa pamoja, kwamba democracy imerudi tz kitu ambacho si kweli na all international bodies wanajua hilo ni political tactics tu na tutazishuhudia sana kipindi hiki, zzk amekutana na TL Mara kadhaa katika kuweka mikakati ya kisiasa, tutulie tuache kuhukumu, mambo mazuri yanakuja.
 
Mm nilitegemea kwamba kwasasa ambapo fisiemu wamejiridhisha kuwa wanapendwa wangewaruhusu wafu cdm wafanye siasa maana hawana madhala yoyote kwao Sasa unaogopa wafu mpaka unawapelekea silaha za Moto??
Harafu majinga fulani yanakuja humu kuiponda cdm[emoji15][emoji15]
Wamechanganyikiwa namna ya kudhibiti Chadema inawasumbua.na bahati mbaya sanaa watanzania ndio tumeilewa vibaya sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonesha ni namnagani ulivyo punguwani. Chadema ina mamlaka gani ya kuwaamrisha polisi wa nchi hii? Humu tunawea kuwa tuna jadili na vilaza kumbe.pole

Unakimbila matusio badala ya kujieleza ukaeleweka (ndio haya J.Mbatia alalamikia). Swali ni jepesi sana, kwanini 2020 ni viongozi wa Chadema tu ndio wanakimbizana na polisi? Mbona wenginne wanaendelea na siasa zao kama kawaida?
 
Machozi yenu ya kuonewa huruma yanaonekana ulimwengu mzima. Mpaka leo 2020 Chadema ndio chama pekee bado kina mbinu za kizamani za kukamatana na polisi ili tu kipate huruma ya wanachi.
Ungejenga hoja ungeonekana wa maana, sasa unaandika ugoro wa nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vile hajagundua laiti angekuwa anasikiliza hoja za wabunge wa upinzani angeshafanya ya msingi zaidi ya hayo aliefanya mpaka sasa
Ndugu,

Nimeamini leo kuwa Rais Magufuli anaiogopa Chadema sana na kwanza hana ubavu wa kukaa nao meza moja.
Anaonekana mtu mwenye kinyongo sana na Chadema. Yupo tayari kuonana na viongozi wote Wa upinzani lakini sio Chadema.

Lakini pia nimejifunza kitu na ninapenda kuwataarifu kuwa Chadema isimchukue Membe kuwa mgombea wake bali iendelee na TL pekee, Membe ni mkakati na wao, sana lao moja.

Hata kama membe akienda ACT basi Chadema isimamishe mgombea wake nimeshaona harufu ya kuivuruga Chadema kupitia Membe. Rais Magufuli ni muoga sana wa Chadema na ana kinyongo sana.

Swelana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CDM gani inayoogopwa..? Hii hii iliyobakiwa na watu watano..? Ambao ukiwauliza ivi itikadi na sera yenu ni ipi ? Kila mmoja hajui anapigania nini ...!! Majibu ndio kichekesho..!! Kuna mmoja anaweza kusema hatuzitaki ndege na mwingine SGR ndio adui wetu, na mwingine aweza sema chanzo cha matatizo yetu ni ' interchange inayojegwa ubungo ' ..... mimi binafsi nachukia sana CDM kuua upinzani ambao ulijengwa kwa gharama kubwa sana huko nyuma...Kazi ya kuujenga upya Upinzani sio lelemama... Haya Membe huyooo wasije wakatangaza ku change gear ANGANI ....!!
Wewe mjinga kweli kweli.

Wewe unazijua sera za chama chako yaani ccm????

Katibu mkuu wenu wa zamani ndugu Horace Kolimba alipowaambia kwamba, ccm haina dira wala mwelekeo, alijibiwa nini???

Tuma hilo jibu hapahapa, kama kweli wewe ni mwanasiasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom