Recent content by David 007

  1. D

    Inakuaje radio frequency zitofautiane?

    Ni choice fm 102.5. My favorite radio station
  2. D

    OBSERVATION: Mkapa na Kikwete kuna tatizo(?) Hawasalimiani!

    Unahisi nivikao vya harusi nin? Kwamba kma sikupendi skupi taarifa?
  3. D

    Ushauri: Nashindwa kumuelewa mama yangu mzazi

    Iyo ni bonge ya nuksi ikikukuta.
  4. D

    Je, Wapemba wako tayari kuhamia Kenya/kuuzwa utumwani Kenya?

    Unaujua vizuri umbali wakutoka kenya mpaka pemba vizur??? Kma pemba iko kenya iweje tanga iwe tanzania? Manake kutokokenya unavuka usawa wa tanga mjin unasogea mpka pangani apo ndo unauona mji kisiwa cha pemba. Manake nikua tanga iko katikat ya pemba na mombasa
  5. D

    Ali Kiba atangaza ujio wa ziara yake ya muziki ya ''Unforgettable"

    Nashindwa kuelewa vijana wanashida gani kushabikia hawa wehu
  6. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilifatliza mzee, uliniokoa
  7. D

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Baada ya miaka kma miwili ivi nje ya game. Umeniinspire sna, leo narud rasmi mchezono
  8. D

    Nini hatima ya dini baada ya "The theory of everything"

    Maandiko ya dini nizaid ya hizo theory, kadri wanasayansi wanavotufundisha kuhusu dunia na anga namengineyo ndivyo akili zetu zinavyozidi kupanuka nakumuelewa mungu zaidi.
  9. D

    Rais Magufuli: Mimi ni Rais kweli kweli, jiwe. Sitishwi wala sitishiki; azindua kiwanda cha Alizeti mkoani Singida

    Tunanunua mafuta ya Mico gold ya litre 20 yanayotoka Maleysia kwa tshs 53,000 na ndoo ya mafuta ya Moo Dewji ya litre 20 inauza tshs 60,000, huyu jamaa anawaza aongeze kodi kwa mafuta kutoka njee inamaana dumu la tsh 53,000 itapanda zaid kusababisha ata wauzaji wa rejareja kupandisha bei. Jamaa...
  10. D

    Kila masika na mbu wake

    Labda mwendo
  11. D

    TUJADILI: Tabia ya watu kuacha miswaki chooni na bafuni

    Ijumaa ya leo ntafanya maombi maalum kwawote wenye tabia hio ili waache wabaki salama zidi yamagonjwa yakinywa
  12. D

    Raha kupata anayekupenda

    Kila laheri mpendwa
  13. D

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Mungu atakusaidia kutoka kwenye hilo janga, kila mtu anatatzo lake atleast wewe ukobize kulitatua
  14. D

    Mwanafunzi CBE ajiua kisa mapenzi

    Hawa vijana kunavitu watakua wanakosa kutoka kwenye familia zao
Back
Top Bottom