Miss Natafuta ngoja wenye offer zao nono wanakuja, sie wengine ka offer kenyewe hata robo kikombe hakafiki tutasumbuana tu huko mbele, matokeo yake tutaanza kuimbiana zile nyimbo za utatoa utoi :):):):)
Mkuu unajua mim usinielewe vibaya, mimi na watu wengine tunakupongeza sana, issue tu pengine ungetumia njia nyengine ya ku address hii issue tungekuwa tunakupongeza zaidi, all in all its okay may be wahusika saivi taarifa zimeshawafikia wanazifanyia kazi, lengo ni kujenga sio kubomoa au sio
Yes ni kweli mkuu tunakubali umefanya kwa faida yao wenyewe Wasafi na faida ya watumiaji wengine pamoja na wasanii wengine wote watakao weka kazi zao huko its okay na ni vizuri pia na tunakushukuru sana, but at least ungejaribu kuwasiliana na wenyewe Wasafi moja kwa moja kuliko ku exposed hapa...
By the way hi style ya mapenzi ya kimjini mjin siku hizi yanawafanya wanaume wengi wanasahau walipotoka na mama zao pamoja na familia zao, mafaniko madago mtu anayopata badala akamtunze mama yake na familia yake na wadogo zake anaanza kumtunza tu mwanamke amabe hata sio mkewe wamekutana kimjini...
Sio kwamba unashindwa that is how it is Psychologically, watoto wengi wakike wanapenda baba zao na baba kuliko mama zao wakiamini kwamba ndio mwanaume pekee amabae hawezi kumdhuru na chochote na daima atamhakikishia ulinzi, na hi huwa inaanzia tangia unapokuwa katika tumbo la mama, ukitaka...
Labda nikuulize huyo mkeo ni mama wa nyumbani tu, kama ni kweli basi wanawake wengi wa namna hii huwa kama hivyo, ningekushauri umtaftie hata kashughuli kakufanya ili awe bize na mambo yake pia hii itamsaidia kumweka busy na asiwe na mda wa idle wa kukuwazia maovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.