Cendy
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 1,252
- 2,314
Aya kataa sasa waoaji hatuna alamahakuna kitu kama hicho
Aya kataa sasa waoaji hatuna alamahakuna kitu kama hicho
hamna alama ndioAya kataa sasa waoaji hatuna alama
wewe una offer gani?Miss Natafuta ngoja wenye offer zao nono wanakuja, sie wengine ka offer kenyewe hata robo kikombe hakafiki tutasumbuana tu huko mbele, matokeo yake tutaanza kuimbiana zile nyimbo za utatoa utoi 🙂🙂🙂🙂
Kuna job nyingi nyingi tuu, ila za ziada. But muhimu ni kukutanisha vikojoleo.maana ya wapenzi ni nini? job description ya mpenzi unaijua?
hata mfanywe nini hamtulii mkuuNifanyeje nipate kukuweka ndani tufanye mambo ya maana na sio kungonoka tu
kwani kukutanisha vikojoleo ni lazima awe mpenzi wako? hyo offer si inauzwa kitaa pia?Kuna job nyingi nyingi tuu, ila za ziada. But muhimu ni kukutanisha vikojoleo.
Mengine yote ziada tuu.
nimesema tu sitaki kupewa ratiba za kwenda lodge /hoteli kungonoka .kama unanipenda niheshimumiss unataka mume au maana sijakuelewa leo?
hujanielewa ..mume hatafutwi jfmiss unataka mume au maana sijakuelewa leo?
Binadamu hatuko sawa wote mkuu. Kuna species nyingine tumetuliagahata mfanywe nini hamtulii mkuu
wapi nimesema natafuta?Miss Natafuta HADI LEO UNATAFUTA? POLE SANA, UKO ABOVE 30 NIN?
...
mahusiano yanabase kwenye sex mwanzo mwisho .?? hapana jamani .
miss upo!!wapi nimesema natafuta?
Si nimekuambia ni ndogo sana kama robo kikombe, au wewe tuambie ulitaka tukupe offer gani pengine hapo tutaenda sawawewe una offer gani?
ahaaaa kumbe hawana makazi sio?Ati kuitwa lodge kusex weekend hahaaaaa unadate na wapuuzi wasio kuwa na nyumba zao au wamepenga sehemu nzuri shubaamiti
Heee kila weekend we upi lodge flani aisee dada angu huo utakuwa upuuzi bora ukae hivyo hivyoahaaaa kumbe hawana makazi sio?