Wahenga wana mioyo ya kusukuma damu tu

Wahenga wana mioyo ya kusukuma damu tu

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,122
Reaction score
52,864
Mahusiano yangu ya kwanza nilikaa almost miaka 5. Huyu ni college mate aliniacha yeye
ya pili miaka 3. Huyu jamaa nilimuacha mimi kutokana na sababu za kifamilia
kutoka hapo sijawai kudate tena mtu seriasi yaani hata week haipiti wengine ni hawa wa JF tunakutana humu na kuachana humu humu kabla hata ya kuachana.

Nataka kussetle ila naona makosa ni yale yale mambo ya kuitwa lodge kusex wekend yaani sipendi naona kama muda wangu wa mambo hayo ushapita ilo tu jamani ndo siri ya mimi kutokuwa na mwanaume .Sio kwamba sina hamu ila uhuni tena big no, wekeni offer zenu vizuri la sivyo mtanilaumu sana, sijui naringa wakati cha kuringia hata sina. Mahusiano yanabase kwenye sex mwanzo mwisho ?? hapana jamani
 
Mhhhh nilikua nakuwazia tu miss natafuta
 
Mungu ni mwema mamy,utapa haja ya moyo wako. Kama kuna uliyembeba moyoni mwako,msamehe ili usonge mbele.
 
Hahahaha, naona ume waamkia wakwale leo !
Ila hujasema unataka mtu mwenye vigezo vipi huenda wakaja unao pendezwa nao mkuu.
 
Kwa Hiyo unataka tuwe wapenzi watazamaji for how long before tuanze kukutanishana vikojoleo?? Be specific....!!!
 
Miss Natafuta ngoja wenye offer zao nono wanakuja, sie wengine ka offer kenyewe hata robo kikombe hakafiki tutasumbuana tu huko mbele, matokeo yake tutaanza kuimbiana zile nyimbo za utatoa utoi 🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom