Mtoa maada umekuwa mkweli sana. Huwezi kutukana kiongozi Wa nchi harafu uachwe Salama tu. Rais Wa nchi ndo image ya Taifa letu. Tatizo watu bado wanaviongozi wao ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Ukitukana utakamatwa tu maana hakuna namna nyingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.