Nani Aliyekuambia Kuwa Kusoma Sana au Kuwa Na Elimu Kubwa Ndiyo Huwezi Kuendesha KIPINDI? Kwanza Katika Media Kila Mwandishi Wa Habari Awe Wa Runinga, Redio au Magazeti Anatakiwa Awe Very Flexible KUNAKOTUKUKA. Isitoshe Katika Media Huwa Hatuna Huo UBAGUZI Waka KIKABURU Na Watu Wote Wanatakiwa Kuwa Treated Equally. Ukimshangaa Leo Mama Joyce Mhavile Mbona Humshangai Mtangazaji Charles Nkwanga Hillary Ambaye Hapo Nyuma Alipokuwa Redio One Alikuwa Ni Bosi Tena Mkubwa Tu Lakini Alipoenda MAMTONI BBC Akawa Mtangazaji Tu Wa Michezo? Mkuu Kazi Ni Kazi Tu Kikubwa TAALUMA Yako INATUMIKA Ipasavyo Na Unailetea MAPATO Kampuni. Halafu Tabia Hizi Hizi Za KUJIKWEZA Kwa Watanzania Ndiyo Maana Wenzetu WAKENYA Wanatupiga Gap Kwani Licha Ya Wao KUTUZIDI Hata KIELIMU Na KIMAENDELEO Lakini HAWACHAGUI KAZI. Huwa Nacheka Mno Ninapowaona Baadhi Ya Watanzania Tena Wenye ELIMU Kubwa Tu Wakisafisha VYOO, KUZIBUA MITARO Na KUWACHAMBISHA VIKONGWE Ulaya Lakini Huku Bongo MNAJIKWEZA Na Kujifanya WAKUBWA au Mna HADHI. Hakuna RAHA Kama Kuwa MSOMI ULIYETUKUKA, MWEREVU KISAWASAWA Halafu UKAJISHUSHA Kwa WATU ULIOPO NAO KARIBU Kwani Hali Hii HUKUFANYA KUJIJENGEA HESHIMA, KUPENDWA Na Hata Kama UKITIMULIWA KAZI NA Rais Magufuli Watu WATAKUKUMBUKA KIMTINDO Kama Si KUKULIA Lakini Jifanye Hivyo Na Hayo MARINGO au SHOBO Hizo Zako Kwa WAFANYAKAZI Wako Unaowaongoza Halafu Magufuli AKINUKISHE Kama Hutaona Wafanyakazi Wako WANAPIGA TU MISAMBA SAKAFUNI Kwa KUFURAHI Kutimuliwa Kwako, Wengine Wakicheza Break Dance Tena Mbele Yako Na Baadhi WAKIKUZOMEA!