Huo ni mfuniko tu mleta uzi! Wangetumia catapilla kuweka mchanga hapo ningeunga mkono hoja yako. Huo mfuniko ni mzito sana kutokana na uimara wa kaburi.
Maandiko matakatifu yanasema. WAHESHIMU BABA NA MAMA YAKO SIKU ZAKO ZIPATE KUWA NYINGI DUNIANI. Marehemu JK alimtukana mzee Warioba ambaye ni sawa na mzazi wake. MUNGU anajua sababu ya kumtanguliza mbele ya haki.
Nahisi tunahitaji aina ya Rais kama Dk. Magufuli kwa sasa, busara katika kuongoza nchi hii imeshindikana. Bwana mkubwa aliyepo madarakani tulimpa asilimia kubwa sana kwamba atatufikisha tunapotaka lakini kashindwa. Tunamtaka Magufuli ili siku moja afukuze wezi wa nchi hii bila kusubiri busara...
kamwamu ninakupa big up kwa coment iliyosimama. Hawa akina Rugemalila ni picha tu inayowekwa mbele, nyuma yake kuna vigogo wengi sana. Mm hii issue ya Prof Tibaijuka na wenzake kugawiwa hela nyingi hizo kama karanga haiingii akilini. Watakuwa wana HISA wakubwa wa IPTL.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.