Kwanini wanajeshi wana kauli za kibabe?

Kwanini wanajeshi wana kauli za kibabe?

Mkuu Leo Umepanga Kuniua Kwa Kunivunja Mbavu au? Kwa Maana Hii Ni Kwamba Sasa Itabidi Ukienda Kulazwa Hospital Yoyote Uulizie Kuna Wanajeshi Wangapi Wamelazwa Humo. Sasa Nimeamini Ni Kwanini Hata Hapo Lugalo Wanalazwa Wenyewe Tu Yawezekana Raia Wakilala Hapo Hupona Wenyewe Kwa Ubabe Wao Humo Wodini Kabla Hata Madaktari Hawajawahudumia. Nimecheka Mno Mkuu Na Post Yako!

Inasemekana kwamba hata wewe raia ukilazwa hsptl ya jeshi basi kila cku sio ajabu kuwa na zoezi la mchakamchaka asubuhi na pushapu za kutosha
 
Me ninaishi na mjeda hapa hata sikujua kama ni mjeda.Ilinichukua miezi 2 kujua.Malimbukeni ndo wapo hivo,ila wanapigika vzr sn hata usiogope.Akizingua simama naye uone anavokimbia
 
Me ninaishi na mjeda hapa hata sikujua kama ni mjeda.Ilinichukua miezi 2 kujua.Malimbukeni ndo wapo hivo,ila wanapigika vzr sn hata usiogope.Akizingua simama naye uone anavokimbia

Na Wanavyojua Kusaidiana Hao! Nguvu Hawana ILA Wana Umoja Wa Ajabu Wa Kuteteana Na Kusaidiana Wakati Wa MISALA Yao Kitaani.
 
Kwakweli wapo wanajeshi mambo yao aibu tupu wao kila kitu kujionesha tu mara kuvaa magwanda kila wakati,mara wapande mabasi kibabe bila nauli na kushushwa pasipo vitu rasmi na mengine mengi aibu tupu. Si wote wenye tabia hizo,ninao rafiki zangu wanajeshi tena wenye vyeo vikubwa kabisa yaani ni watu wastaarabu mno,wana huruma sana wala hawapendi kujulikana kama ni wananeshi hata sare zao huvaa inapibidi tu.
 
Try To Be A Wordsmith Mkuu. Kama Hicho Chepesi Tu Kinakutoa Mpaka Mapovu Ya Makwapani Vipi Ktk Ngeli Nyingine Zikitupiwa Humu?

ungenijibu umeyatumia haya maneno kwenye mada yako ukimaanisha nini ningekuona ila unavyojibu kilevi levi hivi nakushangaa sana mkuu. Huna tofauti na hao wanajeshi washamba washamba.
 
ungenijibu umeyatumia haya maneno kwenye mada yako ukimaanisha nini ningekuona ila unavyojibu kilevi levi hivi nakushangaa sana mkuu. Huna tofauti na hao wanajeshi washamba washamba.

Umemaliza Mkuu?
 
Naona mkuu una personal vendetta na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii.Kutwa kuwatukana askari wetu na kuwasifia wa Rwanda

Mambo ya information warfare haya...Endelea na kazi yako najua unaingiza pesa
 
Hulka Ya Wazibua Vyoo Na Majambazi Nazo Ni Zipi? Unaonekana Unajua Mno Hulka Za Kazi Za Watu Hebu Basi Nijibie Na Hulka Za Hao.
Mkuu mbona umepanic wewe jambazi nini maana ndiyo hulka yenu kupanic
 
Ndio maana wanaitwa wanajeshi sasa ulitaka wawe wapole? hata mwl kuna wakati ubadilika. kazi ya jeshi inaitaji kuwa supavu.
 
Hvi na wanajesh wa marekani nao huwa wanasumbua raia huko mitaani kwao marekani?
 
Wanajeshi wa siku hizi ulojo tuu. Jeshi limekuwa la kisasa sana hasa nidhamu,mazoezi na utii.
 
Me ninaishi na mjeda hapa hata sikujua kama ni mjeda.Ilinichukua miezi 2 kujua.Malimbukeni ndo wapo hivo,ila wanapigika vzr sn hata usiogope.Akizingua simama naye uone anavokimbia

Kweli. Mimmi nafikiri hii tabia ya kuwaona kama watu zofauti ndo inafanya wazidi upuuzi.! Hawafundishwi kunyanyasa raia.
 
Ndio maana wanaitwa wanajeshi sasa ulitaka wawe wapole? hata mwl kuna wakati ubadilika. kazi ya jeshi inaitaji kuwa supavu.

Mkuu pole sana., kwa hiyo hivyo kuonea watu na sifa za kijinga ndio ushupavu au upumbavu.?! Kama ndivyo basi kila kazi ina umuhimu na wengine wakiwa popoma kama hao itakuwaje.? Shida yao wengi wanakuwa failulers .! Ila na wapo wastaarabu.eti afanye mahanatha kisa jeshi...
Weeeh..! Atadimiwa juu chini mpaka aingie kingi.
 
Wanajeshi Wetu Hata Wakiwa Tu Mitaani Lugha Zao Ni 100% Za Kibabe Na Za Kuamrisha Tu? Hivi Yawezekana Ikawa Moja Ya Criteria Of Being A Good Soldier Ni Kuwa Very Sober And Harsh? Hivi Humo Majumbani Mwao Si Huwa Hakukaliki Kwa Masharti Na Adhabu?

Hivi unafikiri ni kwanini unafanya code switching ya lugha ya kiingereza na kiswahili na sio lugha nyingine katika uandishi wako. Majibu ulioyapata yahusianishe na muktadha wa swali lako.
 
Naona mkuu una personal vendetta na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi hii.Kutwa kuwatukana askari wetu na kuwasifia wa Rwanda

Mambo ya information warfare haya...Endelea na kazi yako najua unaingiza pesa

Ungenijua Nilivyo Masikini Wala Usingesema Kuwa Naingiza Pesa Hata Hivyo Nisipoisifia Republic Of Rwanda Niwasifie Akina Nani? Tz au?
 
Mkuu pole sana., kwa hiyo hivyo kuonea watu na sifa za kijinga ndio ushupavu au upumbavu.?! Kama ndivyo basi kila kazi ina umuhimu na wengine wakiwa popoma kama hao itakuwaje.? Shida yao wengi wanakuwa failulers .! Ila na wapo wastaarabu.eti afanye mahanatha kisa jeshi...
Weeeh..! Atadimiwa juu chini mpaka aingie kingi.

Nimependa Hapo Ktk Neno POPOMA. Kumbe MSAMIATI Wangu Sasa Unakuwa Na Unaanza Kuwa Applicable! Nimefurahi Sana Tu.
 
Kwakweli wapo wanajeshi mambo yao aibu tupu wao kila kitu kujionesha tu mara kuvaa magwanda kila wakati,mara wapande mabasi kibabe bila nauli na kushushwa pasipo vitu rasmi na mengine mengi aibu tupu. Si wote wenye tabia hizo,ninao rafiki zangu wanajeshi tena wenye vyeo vikubwa kabisa yaani ni watu wastaarabu mno,wana huruma sana wala hawapendi kujulikana kama ni wananeshi hata sare zao huvaa inapibidi tu.

Naunga mkono . Maofisa wa Jeshi ni waelewa sana na wanatumia reasoning kuliko hawa ma private na makoplo..
 
Back
Top Bottom