Mbarikiwa Mollel
JF-Expert Member
- Jan 13, 2015
- 241
- 49
![]()
Karibuni huku hutokaa ujutie katika maisha yako yote hapa duniani ukiwa ndani ya azam tv
Hamna kitu hapo udini mtindo Mmoja..!!
![]()
Karibuni huku hutokaa ujutie katika maisha yako yote hapa duniani ukiwa ndani ya azam tv
Mkuu mbona hata huko itv na eatv tatizo la kuganda lipo?????
Mkuu mbona hata huko itv na eatv tatizo la kuganda lipo?????
VP kuhusu king'amuzi cha Zuku? ITV na Chanel 5 hazisumbui?
Haaa...!? bado mnatizama hizo tv?! habari za uhakika hupatikana NHK, CNN, DW, BBC na AL JAZEERA.
Kwa muda wa zaidi ya wiki mbili kuna maeneo kadhaa hapa nchini pamoja na nyumbani kwangu, ambapo matangazo ya ITV & EATV (Startimes) yamekuwa yanakwama sana na kutoa picha mbaya na tena ni kuanzia saa 11 jioni hadi saa 5 usiku. Sasa ni hivi kwa upande wangu ninapoona matangazo ya ITV hayaonekani vizuri huwa ni bora nikazima TV kuliko kuangalia habari ya TBCCCM.
Nawasilisha wakuu.
KILAKA.
Haaa...!? bado mnatizama hizo tv?! habari za uhakika hupatikana NHK, CNN, DW, BBC na AL JAZEERA.
mbona startimes wanapitisha maandishi kwenye screen wakiweka wazi tatizo ni nini?? hayo maandishi yanasema 'KUNA MUINGILIANO KWENYE CHANNELS ZA ITV NA EATV NA WAMESHAWAAMBIA TCRA WATATUE HILO TATIZO KWANI LIKO NJE YA UWEZO WAO' sidhani kama kuna hujuma hapo.
Mkuu baada ya kuona Uzi huu Jana ilibidi niangalie taarifa ya habari ya ITV kupitia star times ikawa inakwamakwama ila now asubuhi iko fresh kabisa.
Kwahiyo hayo maingiliano ya mawimbi yanakuwepo jioni na usiku tu
Sasa jambaz nitumie king'amuzi gan ambacho akitasumbua kwenye ITV na eatv?Huko ndiyo umepotea