Kuscratch kwa ITV kupitia Star Times

Kuscratch kwa ITV kupitia Star Times

SAM_0253.JPG


Karibuni huku hutokaa ujutie katika maisha yako yote hapa duniani ukiwa ndani ya azam tv

Hamna kitu hapo udini mtindo Mmoja..!!
 
Mkuu mbona hata huko itv na eatv tatizo la kuganda lipo?????

Itabidi tubanane humu humu na bdo uchanguzi mkuu tutashuhudia mengi dstv nacho kama pambo tu hapa hom malipo yao wanisamehe mim siyo mtu wa kuangalia sana tv imenibid nichukue azam tv
 
Mkuu mbona hata huko itv na eatv tatizo la kuganda lipo?????

Lile tatizo wamesha li solve tayar
Itabidi tubanane humu humu na bdo uchanguzi mkuu tutashuhudia mengi dstv nacho kama pambo tu hapa hom malipo yao wanisamehe mim siyo mtu wa kuangalia sana tv imenibid nichukue azam tv
 
Hata Arusha kuna wakati ITV, EATV na STARTV zilikuwa hazionekani kabisa kupitia king'amuzi cha STARTIMES. Wakasema mitambo yao ilikuwa na tatizo kidogo, ajabu TBCCM ilikuwa inaonekana vizuri kabisa sema huwezi angalia habari za propaganda!!!
 
TBC ina hisa za kumwaga STARTIMES kwahiyo haishangazi sana kwa yanayotokea, sema huu ni ushamba na kushindwa kiushindani
 
Kwa muda wa zaidi ya wiki mbili kuna maeneo kadhaa hapa nchini pamoja na nyumbani kwangu, ambapo matangazo ya ITV & EATV (Startimes) yamekuwa yanakwama sana na kutoa picha mbaya na tena ni kuanzia saa 11 jioni hadi saa 5 usiku. Sasa ni hivi kwa upande wangu ninapoona matangazo ya ITV hayaonekani vizuri huwa ni bora nikazima TV kuliko kuangalia habari ya TBCCCM.

Nawasilisha wakuu.
KILAKA.

mbona startimes wanapitisha maandishi kwenye screen wakiweka wazi tatizo ni nini?? hayo maandishi yanasema 'KUNA MUINGILIANO KWENYE CHANNELS ZA ITV NA EATV NA WAMESHAWAAMBIA TCRA WATATUE HILO TATIZO KWANI LIKO NJE YA UWEZO WAO' sidhani kama kuna hujuma hapo.
 
mbona startimes wanapitisha maandishi kwenye screen wakiweka wazi tatizo ni nini?? hayo maandishi yanasema 'KUNA MUINGILIANO KWENYE CHANNELS ZA ITV NA EATV NA WAMESHAWAAMBIA TCRA WATATUE HILO TATIZO KWANI LIKO NJE YA UWEZO WAO' sidhani kama kuna hujuma hapo.

Mkuu baada ya kuona Uzi huu Jana ilibidi niangalie taarifa ya habari ya ITV kupitia star times ikawa inakwamakwama ila now asubuhi iko fresh kabisa.
Kwahiyo hayo maingiliano ya mawimbi yanakuwepo jioni na usiku tu
 
...waambie waitoe kwenye liking'amuzi lao kama hawajayakuta jalalani bhahhaaaaaaa.....
 
mbona huku Morogoro hakina shida ITV tunaipata vizuri tu
 
Ni namna tu yakusetisha mawimbi..so wanaweza tibua ya dsm bt sehemu zingine zikawa safi,

Note.
 
Mkuu baada ya kuona Uzi huu Jana ilibidi niangalie taarifa ya habari ya ITV kupitia star times ikawa inakwamakwama ila now asubuhi iko fresh kabisa.
Kwahiyo hayo maingiliano ya mawimbi yanakuwepo jioni na usiku tu

ni kweli inasumbua sana haitazamiki...ila startimes wanasema wamewataarifu TCRA watatue hio issue iko nje ya uwezo wao.
 
Back
Top Bottom