Ismail, Ajaabu Leo hii unazungumza kwa Utiifu!! Upole !!ALLAH AWARUHU WAISLAMU KULA KITI MOTO NA KUNYWA POMBE!!!!
Kama kawaida yetu. Leo tutajadili ulaji waNguruwe na unywaji wa Pombe katika Uislam.
Ndugu zanguni, huwa nashindwa kuelewa ninihasa ni tatizo la Allah??!! Hivi huyu Allah huwa ni Mungu au ni nani hasa?MBONA ANA KIGEUGEU Hivi?
ALLAH AMRUHUSU MUHAMMAD KUNYWA VINYWAJI VIKALI"POMBE"
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume waAllah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je,unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwendakuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe;Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa"
Kama ushaidi unavyo sema hapo juu, Allahkaruhusu kunywa pombe. Baada ya hali kumwia ngumu, Allah kaamua kulegeza sheriazake na kuruhusu KITI MOTO kwa wafuasi wake.
ALLAH ATOA RUHUSA YA KULA NGURUWE KWAWAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL
QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kulaNguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
JAMANI ALLAH SASA KESHA TOA RUHUSA KWAWAFUASI WAKE, KULA KITI MOTO NA KUMEZEA/TEREMSHIA KWA ULABU WA POMBE KALI. NDIOMAANA KITI MOTO HUWA KINADODA WAKATI WA MFUNGO, KUMBE WALAJI WAKUBWA WA HUYUMNYAMA ALIYE UMBWA NA ALLAH NI WAFUASI WAKE MWENYEWEE.........
QURAN SUURAT AN NAH'L (16:116).
Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu- mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Munguhawatafanikiwa.
ALLAH KASEMA UKISEMA HIKI SI HALAL(HARAM)Kumbe huko ni kumzulia Mwenyezi Mungu UONGO.
HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe na unywaji Pombe ni Halal.
ALLAH AWARUHU WAISLAMU KULA KITI MOTO NA KUNYWA POMBE!!!!
Kama kawaida yetu. Leo tutajadili ulaji waNguruwe na unywaji wa Pombe katika Uislam.
Ndugu zanguni, huwa nashindwa kuelewa ninihasa ni tatizo la Allah??!! Hivi huyu Allah huwa ni Mungu au ni nani hasa?MBONA ANA KIGEUGEU Hivi?
ALLAH AMRUHUSU MUHAMMAD KUNYWA VINYWAJI VIKALI"POMBE"
Sahihi Muslim 3753:'' Sisi tulikuwa pamoja na Mtume wa Allah, na Yeye Mtume waAllah alikuwa na kiu na mtu mmoja akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, Je,unataka kunywa mvinyo? Mtume Muhammad akasema: Ndio. Basi yule Mtu alikwendakuleta mvinyo. Mtume wa Allah akamwambia: Lete Mvinyo ulio mkali ili ninywe;Basi Mtume wa Allah alipo kunywa ule Mvinyo Mkali alilewa"
Kama ushaidi unavyo sema hapo juu, Allahkaruhusu kunywa pombe. Baada ya hali kumwia ngumu, Allah kaamua kulegeza sheriazake na kuruhusu KITI MOTO kwa wafuasi wake.
ALLAH ATOA RUHUSA YA KULA NGURUWE KWAWAISLAMU-NGURUWE SASA NI HALAL
QURAN AL- BAQARA (2:173)
173.Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya Nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi kulaNguruwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
JAMANI ALLAH SASA KESHA TOA RUHUSA KWAWAFUASI WAKE, KULA KITI MOTO NA KUMEZEA/TEREMSHIA KWA ULABU WA POMBE KALI. NDIOMAANA KITI MOTO HUWA KINADODA WAKATI WA MFUNGO, KUMBE WALAJI WAKUBWA WA HUYUMNYAMA ALIYE UMBWA NA ALLAH NI WAFUASI WAKE MWENYEWEE.........
QURAN SUURAT AN NAH'L (16:116).
Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu- mkimzulia uwongo Mwenyezi Mungu. Hakika wanao mzulia uwongo Mwenyezi Munguhawatafanikiwa.
ALLAH KASEMA UKISEMA HIKI SI HALAL(HARAM)Kumbe huko ni kumzulia Mwenyezi Mungu UONGO.
HABARI NJEMA KWA WAISLAM:
Sasa ulaji wa Nguruwe na unywaji Pombe ni Halal.
utamu wa hii kitu ni zaidi ya utamu wa BAOPicha inatamanisha sana mkuu, wasio kula hii mboga ni sawa na mwanaume asiye dindisha lol
Picha inatamanisha sana mkuu, wasio kula hii mboga ni sawa na mwanaume asiye dindisha lol
Amen, let us glorify Jesus.asante sana kwa vifungu hiv, ubarikiwe na Allah!
ila tatizo kitabu chao kimechorwa michoro ambayo hata wenyewe nadhani hua hawaielewi ndo mana wanaenda kinyume nayo
mmh mimi ni mkristo lakini hiyo nyama imenishinda jamani kwanza ile harufu yake tu huwa inanifanya nihisi kutapika, huwa sielewi watu wanaipendea nini
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
........Mkuu, kuna eneo fulani pale Masasi town wanakaanga vizuri sana ila jina la ile sehemu nimeisahau. Niliwahi kwenda kumtembelea rafiki yangu Muislamu tukaenda kuipiga. Muislamu asiyekula Nguruwe anamzushia uongo Allah maana mwenyewe karuhusu kisha Binadamu wanamzushia kwamba kakataza.Naipenda ikikaangwa na siyo rost.Ukiwa mtwara karibia eneo linaitwa Amigo.
.......Kalaaniwa Mama ako!!iooqWanaokula nguruwe wana laana
.......Dada suala la harufu si kigezo kikubwa sana, watu wanavumilia harufu ngapi?mmh mimi ni mkristo lakini hiyo nyama imenishinda jamani kwanza ile harufu yake tu huwa inanifanya nihisi kutapika, huwa sielewi watu wanaipendea nini
kudindisha ndo kufanya nini best?