ndugu tuwasiliane mimi nafanya iyo biashara kwa muda sasa.. nachanganya duka la dawa na vipodozi.. njoo tushauriane namna gani unaanza nitakupa list ya vipodozi k.koo maduka mazuri ya bidhaa OG nafahamu. na mengine tutaeleweshana mpka unasimama mwenyewee. nipo hapa 0713752709.. pia kuna makabati...
kuna kitabu kimeandikwa na muandishi ambaye amefanya sana iyo field ya mobile bank kama mtoa huduma za tigopesa mpesa Airtel MONEY n.k sasa kutokana na uzoefu wa huko anajua mbinu nyingi zinazotumiwa na matapeli. akachukua jukumu la kuandika kitabu cha ZUIA MIANYA YA WIZI WA PESA ZA MTANDAONI...
salam wanajamvi. kuna chuma flani kinakaa chini ya gari kwenye matairi kwaajili ya mneso kinaitwa stabilize link bar nina kitafuta kama anaweza kupata niunganishe.. nahitaji ya nyuma. gari ni suzuki aerio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.