Recent content by darts

  1. darts

    Wasafi TV kuanguka kabla ya kuanza

    Kwani huyu unae sema ataiua wasafi si ndio RAFIKI MKUBWA wa CLOUDS HADI BOSSI WA KITUO HICHO SIKU WAMEHITILAFIANA AKASEMA HUYU MTU PALE NINYUMBANI KWAKE AMEZOEA KWENDA MUDA WOWOTE SO SASA WAMETIBUANA MNAMUONA HAPENDWI NA WATU WOTE ETI ATAIUA WASAFI MBONA CLAUDS NDIO ILIZUNGUKA NAE DAR NZIMA...
  2. darts

    Diamond atangaza ujio wa Wasafi FM na Wasafi TV

    Ktk hao share holders Diomond ndio bland ( mtaji MKUBWA) KWA hiyo BIASHARA kwani itapata soko kubwa Kwa sababu ya mtaji MKUBWA wa soko . So hao wenye pesa hawazi wekeza sehemu ambayo hailipi, Na Pia pamoja Na pesa waliyonayo wanaweza kuanzisha hiyo BIASHARA ILA watatumia pesa sana kuitangaza...
  3. darts

    Uzi maalum kwa wapenzi wa Muziki mzuri

    DIOMOND . AFRICAN BEUTY NI SHIDAAA LOBE THIS SONG MUCH
  4. darts

    Kikundi cha kilimo

    Tupia namba yako humu ili sisi tukucheki KWA Simu Na baadae baada ya kuafikiana uunde group
  5. darts

    Kikundi cha kilimo

    Kesho nipo MOROGORO hadi alhamisi tukionana iakuwa fresh tunaweza jifunza mengi.
  6. darts

    Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

    Dah. Kweli maana serikari inasema sio maadili udhalilishaji wa wanawake WAO kumbe ndio wanapenda hiyo KAZI IPO. Unamlazimisha MTOTO aende Shule naye hapendi Shule so unalipa maada wee yeye akifika Shule ni kuchati darasani haingii . sasa hapo nani anapata hasala . dah Safari ni mlima Na mabonde.
  7. darts

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Kama waliondoa hapo ndio walikosea kwani wanakuwa wamechochea hao kina mama kuendelea kujiachia kama wangeacha Na KUFANYA ni huru tu HATA KWA zahanati za kawaida NIDHAMU ingekuwepo Na hata kama anafanya wangefanya KWA kinga ambapo bado ni nzuri KWA udhibiti wa magonjwa ya ngono.
  8. darts

    Dodoma: Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, wafanya Zoezi la Utayari

    Acha kutukana majeshi yako yana Mwaga damu kwa ajili ya kulinda AMANI ya nchi nahata unapata huo muda wa kuchati ni WAO wametekeleza majukumu yao ipasavyo. Omba ladhi tafadhari Na utengue kauli yako dah inauma sana.[emoji24] [emoji22]
  9. darts

    Dodoma: Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, wafanya Zoezi la Utayari

    Umetumwa wewe ulitaka wafanye saangapi usiku au unazani ni ngono hiyo hadi wafanye usiku.kwataarifa yako wanafanya mazoezi 24hrs Na mfululizo wa wiki sita bila kulala . nenda kanunue Chips MAYAI ule ulale mapema kesho endelee kuchati wacha wakulindie Amani we Uendelee kubwatuka bwatuka. MTU...
  10. darts

    Kumekuwa na ongezeko la wanaojifungua kwa upasuaji, nini tatizo?

    Sababu kubwa ni risk ya vifo vya uzazi. Kupasuliwa risk ni ndogo sana Na kuzaa KWA kusukuma risk ni kubwa yaani mwanamke anakuwa Na hofu kupona au kutopona lkn njia ya upasuaji ni Salama zaid ndio maana wanaioenda kuitumia.
  11. darts

    Serikali: Taarifa ya umri wa kudahiliwa kidato cha 5 ilikosewa. Ni kuanzia miaka 25 badala ya miaka 20

    Sasa VP KWA wale WATOTO waofanya vzuri Shule huamua kuwa rusha madarasa maana yake sitamaliza wakiwa wadogo Na kuonekana hawna SIFA wakti uwezo WAO kielimu n MKUBWA kwann wasingebezi kwenye SIFA za ufaulu ili MTU Mwenye uelewa MKUBWA aweze kumaliza Na umlimdogo Na ajekulitumikia Taifa kwa muda...
  12. darts

    Old school: Nyimbo za R&B na Hiphop za Kingereza zilizotamba

    Hivi hamna namna ya kupata maandishi ya nyimbo KWA teckonoljia ya sasa? Napenda sana kuelewa maneno ya nyimbo husika BT nikisikiliza huwa suyapati vema
Back
Top Bottom