Kikundi cha kilimo

Kikundi cha kilimo

shamba lipo wapi na ukubwa gani? maji yapo? count me IN!

Mimi Kama mimi bado sina shamba.....mashamba ni ya kukodisha na yanapatikana!kuhusu ukubwa Wa shamba ni juu yetu sisi kujua kwa kuanzia tuanze na shamba la ukubwa gani...tunaweza kuamua kuanza na ekal moja then tukaendelea kuexpand muda baada ya muda!
 
Ndugu yangu TUNAWEZA kufanya kazi pamoja kama uko interested nipo dar ila pia moro nina mahali. PA kuishi piga simu hii+255 657 740 797..
 
Nimekupata kaka mwananchi....nadhani turahisishe hili zoezi kwa kufanya hivi...wale ambao wako tayari kuhusu swala hili naombeni mtupie namba zenu hapa then mi ntacreate group watsapp and add you all ili tuanze mchakato rasmi Wa nini kinaanza nini kinafuata!pamoja guys
 
Habari wana jamvi,

Nimevutiwa na maelezo ya mtoa mada nikaona sio mbaya nikachangia pia.

Me pia ni mkulima wa vitunguu, nyanya kwa kutumia greenhouse, hoho, ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na matikitiki. Nnachoweza kusema hii sekta ya kilimo ni nzuri sana na bado ina nafasi kubwa sana ya kubadili maisha ya watanzania wengi.

Kwa sasa namiliki kampuni mbili ambazo zimejikita kwenye masuala ya kilimo na dhumuni haswa likiwa kusaidia vijana wenzangu pia kufanikiwa katika kilimo.

Kampuni ya kwanza na kampuni mama inaitwa Lumuma Investment ambayo inahusika na mambo yote kuanzia Greenhouse farming, Drip Tape Irrigation, pia tunazo variety tofauti za mbegu aina ya Hybrid F1.

Kampuni ya pili na kampuni dada inaitwa Central Park Bees Ltd, ambayo inajihusisha na ufugaji wa nyuki na uuzaji wa vifaa vya kisasa vya kufugi nyuki. Tembelea tovuti yetu http://www.centralparkbees.co.tz uweze kujua zaidi faida za ufugaji wa nyuki kwani ni zaidi ya kupata asali. Kuna products nying utaweza kupata kutokana na nyuki ambazo dhamani hake ni kama Gold.

Napenda kuwahakikishia kuwa kilimo kinalipa, kwani binafsi toka nimemaliza chuo sijawahi kuomba ajira sehemu na nimekua na maisha ya furaha kutokana na kilimo.

Tunapatikana Makole, tukitazamana na msikiti wa Makole Dodoma mjini.

Wasiliana nami kwa simu namba: 0655003510 / 0689658811
Email: josephkadendula@centralparkbees.co.tz

Ahsanteni sana.
 
Habari wana jamvi,

Nimevutiwa na maelezo ya mtoa mada nikaona sio mbaya nikachangia pia.

Me pia ni mkulima wa vitunguu, nyanya kwa kutumia greenhouse, hoho, ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na matikitiki. Nnachoweza kusema hii sekta ya kilimo ni nzuri sana na bado ina nafasi kubwa sana ya kubadili maisha ya watanzania wengi.

Kwa sasa namiliki kampuni mbili ambazo zimejikita kwenye masuala ya kilimo na dhumuni haswa likiwa kusaidia vijana wenzangu pia kufanikiwa katika kilimo.

Kampuni ya kwanza na kampuni mama inaitwa Lumuma Investment ambayo inahusika na mambo yote kuanzia Greenhouse farming, Drip Tape Irrigation, pia tunazo variety tofauti za mbegu aina ya Hybrid F1.

Kampuni ya pili na kampuni dada inaitwa Central Park Bees Ltd, ambayo inajihusisha na ufugaji wa nyuki na uuzaji wa vifaa vya kisasa vya kufugi nyuki. Tembelea tovuti yetu http://www.centralparkbees.co.tz uweze kujua zaidi faida za ufugaji wa nyuki kwani ni zaidi ya kupata asali. Kuna products nying utaweza kupata kutokana na nyuki ambazo dhamani hake ni kama Gold.

Napenda kuwahakikishia kuwa kilimo kinalipa, kwani binafsi toka nimemaliza chuo sijawahi kuomba ajira sehemu na nimekua na maisha ya furaha kutokana na kilimo.

Tunapatikana Makole, tukitazamana na msikiti wa Makole Dodoma mjini.

Wasiliana nami kwa simu namba: 0655003510 / 0689658811
Email: josephkadendula@centralparkbees.co.tz

Ahsanteni sana.

Asante Sana kaka baraka...nitakutafuta!
 
Habari wapendwa....

Mimi nipo morogoro, ni Dada mwenye uchungu sana na maisha na nahitaji maendeleo kwa njia yoyote iliyo halali! na moja ya njia hizo ni kilimo! nimeshawahi kujishughulisha Sana na kilimo cha umwagiliaji kwa zao la nyanya, hoho na matikiti... kwakweli ingawa haikunilipa Sana lakin niliweza kurudisha gharama za uzalishaji na kupata faida kidogo!

ila kwa mwaka 2014 wote sikuweza kurudi shambani kutokana na matatizo ya kifamilia yaliyonifanya kutumia mtaji wote!sasa nahitaji kurudi shamban mwaka huu lakin nimeona changamoto kubwa kwenye kilimo ni ufuatiliaji!

Mimi kwa nature ya kazi yangu ni mtu Wa kusafiri safiri! hivyo nimefikiria nikipata watu amabo wako interested na kilimo Kama Mimi tuanzishe kikundi cha kilimo nadhani itakuwa poa Sana na pia tunaweza kufaidika na opportunity zilizopo kwenye halmashauri Kama hela za vijana wenye miradi mbalimbali hasa hii miradi ya kilimo!

Kama upo morogoro na kweli hili wazo limekugusa tiririka hapa chini tuone tunaanzia wapi..... wazo langu ni kuja kuwa na kampuni inayozalisha, inayouza na kununua mazao... please naomba wenye nia ya kweli waje hapa tukamate hii fursa!.. kikundi kiwe na watu 3 hadi Wa 5 ili tuweze kumanage vizuri..

wote tunajua panya wengi hawachimbi shimo!

Asanten.

Wazo zuri sana kwa vijana wa karne hii, nipo mbali na morogoro ila nawaunga mkono na kuwatakieni kila la kheri
.
 
Nimepanda sn hili wazo na ningependa kujiunga lkn mimi nalima vituguu Moshi.. Nikivuna huu msimu ntawatafuta
 
nimevutiwa sana na hili wazo ningependa kuungana nanyi kwenye kilimo cha matikiti. kwa sasa nimelima viazi vitamu gairo namba yangu ni 0752177769
 
Mada kama hizi za kutukomboa watanzania watu wala hawazijali
 
Mimi Kama mimi bado sina shamba.....mashamba ni ya kukodisha na yanapatikana!kuhusu ukubwa Wa shamba ni juu yetu sisi kujua kwa kuanzia tuanze na shamba la ukubwa gani...tunaweza kuamua kuanza na ekal moja then tukaendelea kuexpand muda baada ya muda!

HABARI,
"nitaluv,
Hongera sana kwa mapambano ya maisha Na pole kwa matatizo, kama mwanamke ni mfano wa kuigwa pia hongera kwa kutuma fursa hii kubwa ya kilimo kwakuwa ndio kati ya fursa chache ambazo mtu unaweza kuwekeza na ukawa na uhakika wa mapato wewe uko kwenye ngazi nyingine jua tofauti na wengi wetu kwakuwa tayari ulishathubutu na unajua changamoto kidhaa sio kwa kuambiwa bali kwa kuzikabili.Sasa ni vema ukasema uko wilaya gani na wapi hapo morogoro toa na mawasiliano yako na kama nikilimo hicho ni lazima kuwe na chanzo cha maji sema hilo pia ila nakushauri katika mambo magumu kwetu sisi watu wa hali ya chini ni uaminifu hela shetani Dada yangu nakushauri upange ratibazako ila kama ni kilimo uwe na muda wa kutosha kusimamia mazao yako kaachini fikiria sana huo uamuzi sikukatishi tamaa ila nakupa angalizo na kama utapata watu tafadhari ingia nao mkataba kabisa nyie wote na dhamana ziwepo pia.

LUMUMBA
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Poa poa haina noma!kuna wataalamu pia nawafahamu nafanya nao kazi so am sure this is going to work!watu tu wenye nia wapatikane!
Kesho nipo MOROGORO hadi alhamisi tukionana iakuwa fresh tunaweza jifunza mengi.
 
Nimekupata kaka mwananchi....nadhani turahisishe hili zoezi kwa kufanya hivi...wale ambao wako tayari kuhusu swala hili naombeni mtupie namba zenu hapa then mi ntacreate group watsapp and add you all ili tuanze mchakato rasmi Wa nini kinaanza nini kinafuata!pamoja guys
Tupia namba yako humu ili sisi tukucheki KWA Simu Na baadae baada ya kuafikiana uunde group
 
Hongera (KILIMO KWANZA ,VIWANDA NAFASI YA PILI) Mimi ni naunda PAMPU za. maji kwa ajili ya umwagiliaji kwa gharama nafuu sana 0765793347 fuatana nami.
 
Hongera (KILIMO KWANZA ,VIWANDA NAFASI YA PILI) Mimi ni naunda PAMPU za. maji kwa ajili ya umwagiliaji kwa gharama nafuu sana 0765793347 fuatana nami.
Screenshot_2018-03-20-18-27-53.png
Screenshot_2018-03-18-13-13-06.png
Screenshot_2018-02-21-18-27-32.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom