Recent content by Dark Energy

  1. Dark Energy

    7 natural laws of business

    Damu ya mwana wa M-ngu hapo unarefer damu ya nani?
  2. Dark Energy

    Naombeni mawazo na ushauri wenu juu ya huu mchoro wa nyumba kabla sijafanya uamuzi wa kuanza ujenzi

    Mkuu ni bora ukafanya consultation na Architect aliyekuchorea. Huku unaweza pata washauri wengi alaf ukafanya mamuzi mabaya
  3. Dark Energy

    Jamani tafadhalini sana, someni mtu mmoja anaitwa 'Papa Doc' wa Haiti

    Huyo jamaa Doc Douvilier alikuwa anagawa cash mtaani. Alikuwa na imani za kishirikina, kiasi kwamba aliwahi sema yeye ni spiritual being na hawez kufa hata kwa risasi mbele ya wananchi wake Ni moja kati ya madictator waliofanikiwa sana. Alibadilishaga katiba, na kusema yy ni president for...
  4. Dark Energy

    You will never think of life, death, yourself or the universe in the same way again

    Kwel kabisa mkuu, binadamu tumekuwa programmed kuperceive a very tiny fraction of the entire universe kwa hyo inakuwa ngumu kabisa kuelewa the reality of the universe.... the visble light we see is only 0.005% of the electromagnetic spectrum, the physical world that is hills,mountains etc is...
  5. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Ukitumia common sense ipasavyo unaweza kufika kwake mkuu, haina haja ya mahubiri ya kibinaadamu Sifa zake ni too universal, sio esoteric kama unavotaka ziwe.
  6. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Unaposema kwa kichina au kirusi jua kwamba nao wana alphabets zao kwa hyo hata numerology au gematria methods zao zinakuwa tofauti na ile cryptonumerology ya kiingereza. Warusi wana alphabets zaid ya 30, kwa hyo nenda kajifunze gematria yao ndo uijue ndo uje na mjadala wa kueleweka
  7. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Mkuu ni kwamba mafundisho yote ya kidini unayofundishwa hivi sasa ni translations za ancestor languages either kiebrania au kiarabu. Sina uhakika sana na kiarabu Maana tunaambiwa binadamu wa kwanza kuumbwa aliitwa Adam, na Adam linatokea kwenye word root la kiebrania Adamah. Adamah ni land au...
  8. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Yah ni makosa ya kiuandishi, ilipaswa iwe Sh badala ya Ah, Sh ni hebrew alphabetical yenye value ya 300. Ahsante kwa mchango wako [emoji1545][emoji1545]
  9. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Hahaha mkuu ukisoma vizuri vitu vinaeleweka kabisa unless otherwise kutakuwa na tatizo la uwasilishaji au upokeaji
  10. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Mungu mmoja, aliyeumba mbingu na dunia, na vitu vyote vinavyoonekana na visivyo onekana.
  11. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Ahsante mkuu kwa ushauri wako... Pengine ni kukosa uzoefu wa kuandaa threads... nitajitahid kulifanyia kazi hlo
  12. Dark Energy

    God Created Life...... Life existence is an intentional act by God

    Habarini wana ndugu..... Nimepata msukumo wa kuandaa thread hii kutokana na nyuzi mbalimbali nilizozisoma kwenywe jukwaa, pamoja na kuona umuhimu wa kushare information. Ni uzi wangu wa kwanza kuandika, pengine composition inaweza isiwe nzuri sana. .....Kama kichwa kinavosema hapo juu, uzi huu...
  13. Dark Energy

    Marvel studios chini ya Hollywood inawaandaa watu kisaikolojia juu ya ujio wa Mpinga Kristo

    Kweli kabisa Serge Monast alishasema hayo kwenye project blue beam
  14. Dark Energy

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] .....United theism
Back
Top Bottom