Chukua DNA kwa kichina then tumia hizo code au kwa kirusi binafsi sijaona logic yoyote hapo katika ulichoandika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni yaleyale
Kumbe unataka kutuaminisha kwamba kuna Mungu Muumba wa yote sio? Muumba wa yanayoonekana na yasiyoonekana.
Oky, kama hutojali tunaomba sifa zake na namna ya kumwendea
Kwa kuona, kupumua, kusikia, kuhisi au kuonja?Ukitumia common sense ipasavyo unaweza kufika kwake mkuu, haina haja ya mahubiri ya kibinaadamu
Sifa zake ni too universal, sio esoteric kama unavotaka ziwe.