Recent content by dapam

  1. dapam

    Simu za Halotel H6302

    Mi nafikiri kuna haja ya TCRA kutoa maelezo kwa wananchi juu ya maelezo yanayokubalika kwa sababu kuna baadhi ya simu ukiziangali zinaleta maelezo yafuatayo. IMEI 355801511007058 HAIPO, hivyo wasiliana haraka na aliekuuzia maana yaweza kuwa ni FEKI. Mi nafikiri kama simu italeta maelezo hayo...
  2. dapam

    Mhadhiri Shoo wa Chuo cha Diplomasia achemka kuhusu Uchaguzi Zanzibar

    usidanganye watu. kwanza chumba cha kura ya muungano na ya znz ni kimoja. na hata ilipotokea kwa bahati mbaya hakupiga kura ya muungano basi mtu huyo alirudishwa ili akapige hiyo kura ili kuweka hesabu sawa wakati wa kuhesabu kura
  3. dapam

    Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

    Asiejua madhara ya kunyimwa misaada umuulize Salmin Amour rais wa Zanzibar wa awamu ya tano. kiwewe cha kukosa misaada kilimtumbuwa maradhi na sasa anakufa pole pole kitandani. Magufuli ajifunze kutoka kwake.
  4. dapam

    CUF kutoshiriki Uchaguzi wa marejeo wa Machi 20 Zanzibar

    Mie nilitegemea CUF wataeleza nini watafanya ili kuhakikisha haki inapatikana Zanzibar badala ya kumuachia nguruwe shamba la mihogo
  5. dapam

    Tamko la UVCCM TAR 13.1.2016

    Pumbavu unajitia vidole kisha unajinusa mwenyewe. inabidi unatuaminisha kwamba kwenye vijana wa CCM kuna genge la wahuni?
  6. dapam

    Yaliyojiri Uwanja wa Amani, katika Kilele cha Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar 12 Jan, 2016

    Jana kwenye sherehe za kutimia miaka 52 ya mapinduzi ya zanzibar tumeshuhudia kitendo cha aibu kilichofanywa na wanaccm wa Zanzibar cha kumzomea Rais mstahafu wa awamu ya sita wa Serekali ya mapinduzi ya Zanzibar mh. Amaan Abeid Amaan Karume. Kitendo hicho sio tu kimeifedhehesha CCM bali...
  7. dapam

    CCM kutokemea kuzomewa kwa Rais mstahafu wa ZNZ ni kuunga mkono au kughafilika?

    Jana kwenye sherehe za kutimia miaka 52 ya mapinduzi ya zanzibar tumeshuhudia kitendo cha aibu kilichofanywa na wanaccm wa Zanzibar cha kumzomea Rais mstahafu wa awamu ya sita wa Serekali ya mapinduzi ya Zanzibar mh. Amaan Abeid Amaan Karume. Kitendo hicho sio tu kimeifedhehesha CCM bali...
  8. dapam

    Mpambano: Bulembo vs Fatma Karume Kuhusu Uchaguzi Zanzibar

    Huyu Bulembo ni bure kabisa
  9. dapam

    Mpambano: Bulembo vs Fatma Karume Kuhusu Uchaguzi Zanzibar

    Huyu Bulembo ni bure kabisa
  10. dapam

    Tofauti ya mwanamke na mwanaume kimtazamo

    Ha ha ha hii ya saloon ni kweli kabisa
  11. dapam

    Rais John Magufuli Afanya Mazungumzo Na Shein Leo Ikulu

    Mazungumzo yafike mwisho haki itendeke
  12. dapam

    Fedha za MCC tunazihitaji, masharti yanatekelezeka

    Mbona masharti ya MCC yanatekelezeka hivi sisi kushindana na wamarekani ni kwa faida ya nani ? Wazanzibar wachache wenye uchu wa madaraka wasitukoseshe fedha ambazo kimsingi tunazihitaji sana.Waathirika wakuu wa kukosekana kwa msaada huu ni sisi tunsoishi vijijini ambao tunaishi bila umeme tangu...
  13. dapam

    Bodi ya MCC yainyima Tanzania fedha za msaada

    Hivi hili suali la Tanzania kukubali kukosa misaada kwa sababu ya Zanzibar ni uzembe au ni ujinga?
  14. dapam

    Wazanzibar watajwa Wizara ya Fedha, Elimu

    Kwani hao watanganyika ambao mnajisifu wana uwezo wameifikisha wapi nchi miaka 54 baada ya uhuru? Wezetu wanaendelea nyinyi mmeshikilia tu ubaguzi. Acheni hizo. Nyokoooo
Back
Top Bottom