dapam
Senior Member
- Dec 19, 2014
- 108
- 37
Jana kwenye sherehe za kutimia miaka 52 ya mapinduzi ya zanzibar tumeshuhudia kitendo cha aibu kilichofanywa na wanaccm wa Zanzibar cha kumzomea Rais mstahafu wa awamu ya sita wa Serekali ya mapinduzi ya Zanzibar mh. Amaan Abeid Amaan Karume.
Kitendo hicho sio tu kimeifedhehesha CCM bali kimewaonyesha Watanzania kwamba kuna tatizo kumbwa ndani ya CCM Zanzibar.
Cha kusikitisha ama kushangazza ni kitendo cha viongozi wa CCM Zanzibar kulikalia kimya jambo hili je ni kutuaminisha kwamba wanakiunga mkono kitendo kile au wameghafilika kukikemea?
Kitendo hicho sio tu kimeifedhehesha CCM bali kimewaonyesha Watanzania kwamba kuna tatizo kumbwa ndani ya CCM Zanzibar.
Cha kusikitisha ama kushangazza ni kitendo cha viongozi wa CCM Zanzibar kulikalia kimya jambo hili je ni kutuaminisha kwamba wanakiunga mkono kitendo kile au wameghafilika kukikemea?