Hivi kipaumbele cha TZ ktk hi awamu y tano ni kipi? Afya bado daw ni shida hospital in, Elimu walim, madawat, vyumb vy madaras, zana za kufundishia na kujifunzuia ni changamoto, maslahi ya walim duni, Tuongeze na mzg wa sayans wote.
Jaman, mtu akijua kitu ni vizur sana, Tuweke vyama pembeni ila tumpongeze tu, hii ni chachu kwa wanasheria wote TZ , ninafikiri Mawakili wa Jamuhur jana hawakulala, wanawazia kichwa hicho
Mwanaume ni kichwa cha familia, kila tatizo linalotokea krk familia kuna namna fulan ambayo mme umelegea. Gari likipata ajari anaulizwa dreza sio kondact wala abiria, Kampuni yoyote ikipata loss, meneja anawajibishwa sio wafanyakazi. Vilevile nchi ikizubaa kimaendeleo Raisi analaumiwa. Wanaume...
Kwa ufupi, yapo matatiz meng san kwenye ndoa, na inahitaji mbinu nyingi sana za kuyatatua. Swali kw mtoa mada, 1. Kuja sa tano ndo muda wake wa kila siku? Kam sio kurakuwa na cheni ndefu ya matatizo yao.
Nina flash ambayo nilikuwa natunza document zangu nyingi na za muhimu. Ilikuwa na audio chache. Siku moja nilikuwa naplya kwenye DVD ikastop ghafla nahisi ilipata virus. Nikiifungua kwenye computa haifunguki, hata nikiiflshi inagoma. Lakini kwenye hizo documement ndani ya flash baadhi zilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.