Jiulize kutokea kona hii, Je unaweza ukaunganisha vipande vitatu vya kamba vilivyo sawa ikawa kamba moja? kama jibu lako ni ndiyo,kwanini unauliza kuhusu kuigawanya? na kama jibu lako ni hapana, basi sababu yako ya kusema hapana inabeba jibu la swali lako la msingi.
wakuu naomba kufahamishwa.
je,ninaruhusiwa kuifungasha upya kwenye mifuko yenye nembo yangu bidhaa iliyotengenezwa na kufungashwa na mtu mwingine?
mfano nanunua bidhaa iliyosindikwa na kuwa packed na kampuni fulani iliyothibitishwa ubora na shirika la viwango la kimataifa ISO, kisha mimi...
wakuu tukiwa tunaelekea kwenye katiba mpya napendekeza lifuatalo;
tuweke maneno tunayoamini kuwa ni ya msingi kwenye katiba mpya kwa ajili ya tafakari zaidi
bones are made before the flesh and the flesh before the skin.
kwa kuwa JF have great thinkers nategemea bones are going to be...
ni kweli scientific assumptions zitaendelea kuwepo because kuna factors ambazo scientist can not control them.kuhusu kutembea juu ya maji,I guess you are talking the story of JESUS CHRIST,if my guess is correct sina tatizo na story yenyewe,ila napenda niboreshe lugha ili kuondoa missleading...
hujanielewa kwa kuwa umeathirika na elimu ya kufikirika.kusema nR haiathiriwi kwa vyovyote na P,V or T ni kujidanganya sana,kama haviathiriani visingekuwa na uhusiano,nakushauri tafakari upya bila kufungwa na written documents za wanasayansi,read in details hizo factors sambamba na n,R.utauna...
mara nyingi kwenye kusoma kwangu sayansi nimekutana na maneno,'assume other terms are constant'. kuna wakati i also assumed so as to proceed with my calculations, "fake calculations". siku moja nilipokuwa kwenye lecture ya fluid mechanics, lecturer aliandika formula hii; PV=nRT kisha ikafuatiwa...
Jana katika kikao cha bunge cha jioni spika alisema,kwa uendeshaji bora wa bunge suala lililozua mjadala juu ya nani ashirikiane na kamati maalum ya kukusanya maoni juu ya katiba mpya katika ngazi ya wilaya analipeleka kwenye kamati ndogo ya sheria ya bunge na kwamba katika hilo hakuna kupiga...
That's great! wanafunzi wa siku hizi wengi hawataki kusoma kwa bidii,kujifunza kwa kuzingatia kanuni za kujifunza ila wanataka vyeti tu.Take this;mwenye akili anajali kuongeza maarifa na siyo kutafuta vyeti.
Historia na maandiko yanatuonesha kuwa; madhara ya kizazi cha kwanza yanagusa hadi kizazi cha nne! na vingine mbele endapo hakuta kuwa na mwanzo mpya.
Tz sasa tupo kwenye kizazi cha nne, tusilalamike what we are facing now,system imeishakaba, nothing will change, inflation inatisha.
Tuvumilie...
Historia na maandiko yanatuonesha kuwa; madhara ya kizazi cha kwanza yanagusa hadi kizazi cha nne! na vingine mbele endapo hakuta kuwa na mwanzo mpya.
Tz sasa tupo kwenye kizazi cha nne, tusilalamike what we are facing now,system imeishakaba, nothing will change, inflation inatisha.
Tuvumilie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.