wanafunzi kumi wa college of informatics UDOM wame discontinue kwa makosa ya kushikwa na nyenzo(nondo,ngima,vikaratasi) katika chumba cha mtihani
Du walikuwa hawajui ukikutwa na kibomu unagrauate hapohapo?
Du walikuwa hawajui ukikutwa na kibomu unagrauate hapohapo?
hiki chuo bana.mwanangu hatakuja kusoma hapo!
pambafu kabisa vijana wa siku hizi....akili mmeziacha wapi?
pambafu kabisa vijana wa siku hizi....akili mmeziacha wapi?
hiki chuo bana.mwanangu hatakuja kusoma hapo!
Atakuja kufundishwa na waliosoma hapo. Maisha ni duara. Waliosoma hapo watamfundisha au kuwa viongozi/watawala wake. POLE SANA NDUGU, LABDA AKASOME HARVARD AU UDSM; NDIO WANAOMALIZA UDOM HAWAWEZI KUFUNDIHSA HUKO.hiki chuo bana.mwanangu hatakuja kusoma hapo!
atasoma havard....