Muda umeenda Sana ukilinganisha na kule mziki Wa Bongo fleva ulipotoka nafikiri mziki umekua kiasi kuelekea kule lengo linapoitajika.. Kwa wewe Ni nyimbo gani unazikumbuka na haziwezi potea kichwani mwako unaweza uka share hapa hivo tukapata ladha za kitambo
kuna umuhimu wa kuufunga huu mjadala wa
vyeti nakujaribu kuangalia vipaombele vyetu
ni vipi ..upinzani unaitaji kuwa na sera mama
...kuliko kujikita kwenye hizi games
mwishowe tutaendelea kuwa katika mifumo
wanayoitengeneza .
#JuaUnachotaka
nilikua na tatizo kama lako miaka 5 nyuma..nilitumia tangawizi na kitunguu swaum nika mix na asali nikawa natumia vijiko viwili mara 2 kwa siku. kwa mwezi mmoja likapotea kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.