Recent content by Dangote

  1. D

    Jenerali 'Msauzi' Azungumza Kiswahili Msiba wa Mandela!

    Staff karibu wote wa ubalozi wa namibia nchini india wanaongea kiswahili hili nimelishuhudia mwenyewe
  2. D

    Ofisi ya CHADEMA mkoa wa Arusha yachomwa moto

    Duh mnachoma ofisi kupoteza ushahidi wa mahesabu ya fedha tehtehteh,good move CAG angewaumbua
  3. D

    Salim Ahmed kwanini Amekuwa na kitetemeshi kuhusu kiongozi Bora Afrika? - BBC Dira ya Dunia

    Mwacheni mzee wa watu hagombei urais mnafuatafuata wa nini
  4. D

    44.7 Trillion ni pato la taifa na 22.7 Trillion ni deni la taifa

    Kama unapenda kusoma vitabu,kitafute hiki kinaitwa "confessions of an economic hitman"kimeandikwa na john perkins.kimeelezea vizuri sana sababu ya nchi zetu masikini kukopeshwa ovyo na kua na deni kubwa kuzidi uwezo wao wa kulipa
  5. D

    Wazo: Kampuni ya Wakulima na Wafugaji-JamiiForums

    Malila please nijulishwe chai day
  6. D

    DUBAI MEANS BUSINESS, ( from a dust village to a global hub).

    Bandari hiyo inachukua dakika 20 ya singapore dakika 3 ndio ya kwanza duniani kwa ufanisi,je yetu ya dar es salaam siku ngapi vilee??
  7. D

    Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

    Tuwe wakweli usumbufu bandari yetu ni mkubwa urasimu,rushwa na uzembe sio kwa wageni tu hata sie watanzania unatutesa tukubali ufanisi wetu uko chini tuimarishe huduma zetu kuanzia bandari zenyewe mpaka reli waganda na wanyarwanda wenyewe wataona hasara kutumia mombasa tuache kulialia tuchape...
  8. D

    Nani mhamiaji haramu Kagera? pitia waraka huu

    Hata kusini kuna wanyasa kutoka malawi,wamakonde kutoka msumbiji sema wao hawana tabu wanyasa wamekubali kua walinzi maisha yanaenda wako hapa kwa amani na adabu tatizo la wahamiaji wa rwanda wana tabia za ajbu mara ujambazi mara rais wao atutishie basi mnageuka kero na threat hakatazwi mgeni...
  9. D

    askofu Mollel bado ni bilionea Arusha?

    Arusha mji ambao ukiwa na jengo la ghorofa 1 na range rover vogue unaitwa billionea lol
  10. D

    Kwanini biashara ya madawa ya kulevya inafanyika sana kwenye nchi za Kiislamu na Kikristo?

    Unganisha dots kati ya vatican na mafia na taliban na wazalishaji wa hizo dawa.tatizo letu hizi dini mbili zimetublind kabisaa hatutak kuona wala kusikia ila ukweli kulikoshamiri ukatoliki na uislam wenye msimamo mkali ndio haswa sehemu kuu za uzalishaji na usafirishwaji.unadhan taliban wanapata...
  11. D

    Serikali kununua ndege nyingine..

    Aina hiyo ya ndege zinatengenezwa brazil iweje ikanunuliwe morocco!! Hapa kunanunuliwa mtumba na ni kinyume na sheria ya manunuzi ya umma kumbukeni sababu ya kugomewa kununuliwa mitambo ya dowans.hii ni rushwa tu naomba wakiinunua ianguke iwaue!
  12. D

    Siendi Mkoani Ng'ooo!! Dar es salaam is the future! Mikoani ni didimizo la uchumi binafsi

    Sio tu mkoani hata hapa dar kuna maeneo hakuna ushindani wala inspiration,mie naishi uswahilin nina miaka 24 tu nina gari na vipesa flani basi naonekana matawi mtaani balaa naheshimika yote hii ni kwasababu nimezungukwa na maskini na wenye elimu duni kama na mie ningekua mtu wa kuridhika ahh...
  13. D

    Tamko la JK dhidi ya wahamiaji haramu siku 3 zimebaki,Mkuu wa mkoa wa Kagera ameripoti haya

    Tusiishie kusema TRA wapo BOT wapo jeshini wapo sijui na wapi wapo.kama tunawajua tuwataje majina yao hapa hapa hatutumii majina halisi acha uoga taja tu majina najua wanausalama wanafuatilia mitandao ya jamii na thread kama hii lazima waiperuzi mtaje jina na eneo lake la kazi achunguzwe kama ni...
  14. D

    Tamko la JK dhidi ya wahamiaji haramu siku 3 zimebaki,Mkuu wa mkoa wa Kagera ameripoti haya

    Hi operation isishie kagera tu iende nchi nzima kule arusha wasomali na dar mitaa ya kwa mtongani wamejaa sana,pia wahindi nao hawana vibali ndugu zao wamewajaza maghorofani upanga huko wanafanyiwa mipango ya kupata passport zetu.sipingi wageni kuishi hapa ila wafuate taratibu pia wawe raia wema...
  15. D

    Tusahau ya kampuni ya NICOL, hii ndio biashara itakayotutoa sisi watanzania

    Napenda sana hizi mutual funds but lazima nikiri naziogopa nikichek ya nicol hata yaliyotokea kwenye financial crisis huko USA jinsi hao managers walivyocheza na investments za watu bei za hisa zikaporomoka watu wakala hasara while wao managers wakijilipa bonus na kusepa nakiri napata uoga...
Back
Top Bottom