Habari zenu jamani. Mimi ni mtanzania nilieamua kuja kufanya kazi huku Oman kutokana na ugumu wa maisha. Ila sasa nimeamua nirudi nyumbani kutokana na maumivu makali ya mgongo yatokanayo na kazi nyingi nifanyazo.
Hivyo nikaomba kurudi nyumbani Tanzania, wamenikubalia lakini wanataka nilipe...
Habari waungwana.....ni hivi nina mtoto wa dada yangu ama umri wa mwaka na nusu,lkn ana uzito wa kilo kumi na nusu.Leo nimpeleka kliniki wanasema aongezewe lishe.lakini mtoto anakula vizuri,kachangamka pia hasumbuliwi na magonjwa yoyote.Je tatizo linaweza kuwa nn??natanguliza shukran!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.