Recent content by Danah

  1. D

    Naombeni msaada watanzania wenzangu

    Habari zenu jamani. Mimi ni mtanzania nilieamua kuja kufanya kazi huku Oman kutokana na ugumu wa maisha. Ila sasa nimeamua nirudi nyumbani kutokana na maumivu makali ya mgongo yatokanayo na kazi nyingi nifanyazo. Hivyo nikaomba kurudi nyumbani Tanzania, wamenikubalia lakini wanataka nilipe...
  2. D

    Je!kuwa na kilo nyingi ni afya??

    Habari waungwana.....ni hivi nina mtoto wa dada yangu ama umri wa mwaka na nusu,lkn ana uzito wa kilo kumi na nusu.Leo nimpeleka kliniki wanasema aongezewe lishe.lakini mtoto anakula vizuri,kachangamka pia hasumbuliwi na magonjwa yoyote.Je tatizo linaweza kuwa nn??natanguliza shukran!
  3. D

    UTAFITI: Wanaume wenye kushinda sana kwenye "Social Networks" hufanya sana punyeto

    Kuna ukweli ndani yake!wengi wao ndo kazi yao hiyo!
  4. D

    Uvivu wa Mtanzania

    Noma Kweli
  5. D

    Ebanaeee hii sasa "Hatrari"

    Hii Kweli Hatari,padri Kaona Asali Kabsa Kabla Hayajamfika Na Yy
  6. D

    Umechelewa kuleta posa

    Pole Sana,haikua Rizk Yako.
  7. D

    Diamond achaguliwa kuwania tuzo za BET

    Hongera Zake!
  8. D

    Haaaaaa haaaaaaaa haaaaaaaaaaa!!!

    Tutagawana Kwa Kweli!Hawezi Ondoka Hvi Hvi,lazma Kieleweke.
  9. D

    Na Bado

    Hii Kali!Mweh!
  10. D

    mazoea yana taabu!

    Kuumbeeeh!
  11. D

    Mwanamke mwenye mtoto!

    Fuata Moyo Wako Mkuu!
  12. D

    Happy Birthday gorgeousmimi

    Heri Ya Siku Ya Kuzaliwa.
Back
Top Bottom