Umechelewa kuleta posa

Wadau!

Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mimi nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.


hongera, huko kwingine mi sijapaona..
 
Kuachana sio kirahisi rahisi kama mnavodhani,
we jamaa kama unampenda mpe mimba ndo watajua umewahi au umechelewa
otherwise uwe nawe humuhitaji tena
huyo ni mwanamke sio biashara ya kiwanja

Unajuaje kama huyo dada hana mimba tayari? Maana hiyo kauli yao ni kiashiria tosha kwamba binti wao ni either ameshapigwa mimba au kulipowa posa na mtu mwingine.
 
Wadau!

Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mimi nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.

mdau wala usijali,,,,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom