Wonders shall never end. Mi.nahisi ungekuwa unampenda haswa haya mambo ya posa yasingezingua ungemchukua juu kwa juu na mimba juu (kama una uwezo wa kumpa) kisha tuone hiyo deadline yao wangempa nani?
Cc Evelyn Salt Ennie
Wadau!
Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mimi nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.
Kuachana sio kirahisi rahisi kama mnavodhani,
we jamaa kama unampenda mpe mimba ndo watajua umewahi au umechelewa
otherwise uwe nawe humuhitaji tena
huyo ni mwanamke sio biashara ya kiwanja
Wadau!
Nimeambiwa kuwa nimechelewa kupeleka Posa Ukuryani, kumbukeni kuwa ilikuwa nipeleke posa kwao Mchumba wangu toka Mwaka huu mwanzoni kabisa ila wakawa wanaiahirisha kwamba baba hayupo, mara baba ana wageni toka nje ya nchi, sasa mimi nikawa natumia fursa hiyo kumalizia ujennzi wa Nyumba yangu, nyumba imeisha mwezi wa nne nikatoa taarifa kwao kuwa tarehe 25 mwezi huu naleta posa, nikajibiwa kuwa Nimechelewa.