Mwanamke mwenye mtoto!

Mwanamke mwenye mtoto!

Achana nao PIli hawa huwa wagumu ile mbaya kushika Mimba. Wengi baada ya kuzaa huwa wanaingia kwenye uzazi wa mpango au kutoa mimba itakayofuata ili kosa alilofanya lisijirudie na hii huwa inawaathiri. Alafu mkikawia kupata mtoto pressure itakuwa kwako mwanaume maana yeye atadai hana tatizo ana mtoto. Usioe Kaka fuata ushauri wangu piga chini fasta.
 
Tatu mwanamke akizaa kizazi huwa kinatanuka, au niseme ukubwa wa Kumm@ unaongezeka na huenda ikawa ni vigumu kufika kileleni. Sasa kaka Bikra ukose na raha ya K tamu ya mwanzo kabla kichwa cha mtoto hakijapita pia? Achana nae.
 
Nne single moms huwa wako very protective na watoto wao. Mtoto wake unaweza kuwa unalea wewe lakini akikosa ukamchapa lazma utasikia angekuwa mwanao ungempiga? Huwa wanalia ubaguzi 100% of the time. Wengine wanafikia hatua hata ya kununua vinguo na zawadi kwa mwanae tu ila mliozaa wote baba yao uwajibike. Hapo mzazi mwingine utakuta naye taratibu anaanza kumtenga huyo mtoto asio wake.

Au sometimes mambo yamekwama na ada imepungua unavyomwambia basi wewe ongea na mzazi mwenzio atume ada au anunue madaftari doh kesi zinaanza na full kununa.
 
Changamoto nyingi faida ni zero. Chapa lapa angalia kwingine. Itakuletea matatizo hadi wakati wa urithi. Ikitokea bahati mbaya baba ukatangulia mbele za haki akabaki mama huwa wanakuwa na tabia za kuwagawia mali au kumuandikisha kabisa mwanae wa nje ili akifa asionewe. Hii Sio mbaya kama haki ikatendeka lakini huwa haiwi hivyo na mara nyingine watoto wanamtenga na huenda wasimpe chochote wakidai hana haki ya kurithi chochote.
 
Single mothers ha2aminiwi cjui kwa nin maskini,inaniuma sana,being a single mom is a chalenging task,please marry her if u do love her and learn 2 trust her,...good lucky bro'

Umenigusa nikajikuta nawaonea huruma sana wadada wenye watoto. Kwa kweli hapa kuna hukumu inatolewa bila haki hawa wadada kwa ujumla hawazai peke yao. Ni sisi wanaume tunawasababishia halafu tunawaacha.

Haya ametokea mtu kampenda tunatoa sababu za kuwatenga mi nadhani hii si haki kabisa.

Cha msingi hapa kwamleta uzi, wewe unamjua mpenzio na ushauri ushapewa kwa hiyo changanya na za kwako songa mbele kwa maamuzi. Cha muhimu awe na mtoto au hana ndoa za siku hizi changamoto zipo tu
 
Umenigusa nikajikuta nawaonea huruma sana wadada wenye watoto. Kwa kweli hapa kuna hukumu inatolewa bila haki hawa wadada kwa ujumla hawazai peke yao. Ni sisi wanaume tunawasababishia halafu tunawaacha.

Haya ametokea mtu kampenda tunatoa sababu za kuwatenga mi nadhani hii si haki kabisa.

Cha msingi hapa kwamleta uzi, wewe unamjua mpenzio na ushauri ushapewa kwa hiyo changanya na za kwako songa mbele kwa maamuzi. Cha muhimu awe na mtoto au hana ndoa za siku hizi changamoto zipo tu

yeah,ni kweli kbs,wa2 wanasahau kuwa majority huwa single moms bla kutegemea,as 4 me i love the man i have ryt nw and i cnt cheat on hm even a single minute,nlibreak up with ma' bby's dady wen i was 4 months preg and i had the opportunity 2 abort bt i couldn't do it,beta wanaume mka2heshmu wadada/wamama
 
Tatu mwanamke akizaa kizazi huwa kinatanuka, au niseme ukubwa wa Kumm@ unaongezeka na huenda ikawa ni vigumu kufika kileleni. Sasa kaka Bikra ukose na raha ya K tamu ya mwanzo kabla kichwa cha mtoto hakijapita pia? Achana nae.

uongo huo,hkn daktar kama Mungu,unajifungua na baada ya hapo maumbile yako hurud kama kawaida,ukubwa wa k n maumbile ya m2,wa2 wana watoto wa5 na stl n mnato na wengne hawana watoto bt ni mabwawa
 
ukiona mwanaume anachangia mada kama hizi kwa kutoa negative efect ujue nae ana mwanamke aliyempa mimba na kisha kumkataa. anajishaua na kujifanya mwema sana. mimi binafsi nakushauria umuoe huyo mdada kama anakufaa mtoto si tatizo. njoo huku tarime uone. mtu anaolewa na unakuta ana watoto hata wanne itakua huyo mmoja
 
ukiona mwanaume anachangia mada kama hizi kwa kutoa negative efect ujue nae ana mwanamke aliyempa mimba na kisha kumkataa. anajishaua na kujifanya mwema sana. mimi binafsi nakushauria umuoe huyo mdada kama anakufaa mtoto si tatizo. njoo huku tarime uone. mtu anaolewa na unakuta ana watoto hata wanne itakua huyo mmoja

Nimekupenda bure mkuu! wadada wenye watoto tunapata shida sana na generalizations zisizo na maana!
 
Kila mahusiano yana faida na hasala zake pia yana machungu na raha zake
zaid ukipenda boga upende na ua lake
oa 2
 
na huyo mke asiye na mtoto unayemtaka ukishamzalisha ww ukatangulia na ukamwacha mkeo na mtoto hivyo wamtenge? Hata kama kajitokeza bb wa kambo na anataka kumlea na mwanao pia!! acheni ubaguzi !!
 
Tatu mwanamke akizaa kizazi huwa kinatanuka, au niseme ukubwa wa Kumm@ unaongezeka na huenda ikawa ni vigumu kufika kileleni. Sasa kaka Bikra ukose na raha ya K tamu ya mwanzo kabla kichwa cha mtoto hakijapita pia? Achana nae.

Unajua anatomical charachteristic of vagina au unaongea pumba tuu
 
Most ya wanawake waliozaa kabla ya kuolewa wanakua waaminifu xana kuhofia kupoteza bahat alioipata so usmwache kwa sababu ya mtto weka mama ndani uta enjoy maisha ya ndoa
 
Hakuna mtoto anayependa kuzaliwa na kulelewa na single parents ila tatizo haswa lipo Kwa wanaume wengi kukimbia majukumu na unajikuta mwanamke unatafuta uafadhali Kwa kuwa na mwanaume mwingine ila Kama wanaume wote wangekuwa responsible dharau na kejeli tunazopata single moms zingekwisha
 
Tatu mwanamke akizaa kizazi huwa kinatanuka, au niseme ukubwa wa Kumm@ unaongezeka na huenda ikawa ni vigumu kufika kileleni. Sasa kaka Bikra ukose na raha ya K tamu ya mwanzo kabla kichwa cha mtoto hakijapita pia? Achana nae.

Si bure una lako jambooo
 

Haya wewe muache amuoe alafu usubirie siku akuage anakwenda kumtembelea mwanae, au usubirie siku umerudi nyumbani unakikuta kidume ndani kwako kishapikiwa na kimekula kikashiba alafu mkeo akakujibu huyu mzazi mwenzangu alikuja kushinda na mtoto wake au alikuja kumchukua mwanae.

Yaani atakuwa hana uhuru na mkewe hata akikuta namba ya simu imepiga mara 10 kwenye simu haukawii kuambiwa nilikua naulizia hali ya mwanangu.
daaah!!aisee ndugu jinsi unavyoelezea ndivyo my bro yalimtokea alichokifanya mi sisemi hapa hata kwa dawa
 
kaa naye muongee kuhusu uhusiano ambao unataka uwepo kati yake na mzazi mwenza.,kwa ushauri wangu wewe ndo uwe unawasiliana na baba wa mtoto kuhusu mtoto wa mke wako ili kupunguza ukaribu kati ya mke wako na baba wa mtoto wa mke wako, ila hao wanawake ni watamu na wanajitambua na wengi wao wapo makini tena serious na mahusiano.. si unajua wanarist hawataki kurudia makosa ya kwanza..
 
Mkuu kwani umeshakuwa scraper kiasi kwamba umekosa sifa za kujitwalia binti ambaye hakuwahi kuzaa na mwanaume mwenzako? Kuna faida na hasara za kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine!

Faida ni kwamba umeshajua kuwa ana uwezo wa kuzaa kwa hiyo kama huna matatizo ya uzazi mnaweza kupata watoto sita kwa miaka saba kama jamaa mmoja humu ndani!
Faida ya pili ni kwamba ana experience kwenye masuala ya unyumba kwa hiyo atakuwa mkufunzi wako...

Kabla sijasema demerits labda nikukumbushe tu kuwa wanaoolewa kufuata future kwa waume ni hiki kizazi cha digital lakini real women hawafuati future kwa wanaume so ukileta uvivu kitandani na kukosa ubunifu (of which mwenzio ni experienced) tegemea mkeo kusaka hizo 'future' kwa wenzako unaodhani umewazidi 'future'
Genius
 
Leo kuna watu mnadhani ukishakuwa na kabalance kidogo bank, ukiendesha vogue,nyumbani ukiwa mazaga kwenye fridge na kajumba mjini baaas ni future...Lemme tell you,kuna wanawake wana uwezo pia, taasisi ya ndoa inahitaji zaidi ya hayo....mapenzi ni ujinga ujinga kiongozi, wenye ndoa stable ni wale wajuvi wa ujinga ujinga, unachoita future ni by the way tu!
Watu wenye akili kubwa kama hizi mmeenda wapi mkubwa hamuonekani jamvini
 
Back
Top Bottom