Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?
Imetokea umepata mgeni nyumbani kwako. Kama kawaida ya ukarimu kwa wageni, ukampatia Soda, Mgeni alipofungua soda, akaona ameshinda Tsh.1000,000/=. Halafu akakuonesha kwamba ameshinda, Then anaaga aondoke... Utamfanyaje?
Hapo hapo ndio nitajua cha kufanya
wakati natoa chupa namuomba na kizibo....ahahaha..yeye ni mgeni tu