Natanguliza Salamu Kwenu Wadau, Napenda kuuliza juu ya hii ya kuprint Tshirt kwa kutumia SCREEN, hua naona Nikienda kuprint kazi zangu. wanavoandaa ile screen ni kama wanapaka vitu vya BLUE kama rangi alafu baadae KARATASI yenye LOGO inabandikwa juu ya SCREEN alafu (CHAKUSHANGAZA) baadae ile...
Kwa sasa nafahamu OPRAS ndio inayotumika sana hususani upande wa serikalini yan MDA's na LGA's, Je kuna zipi nyingine ambazo zinatumiwa na makampuni ama taasisi nyingi kwa Tanzania mwenye uelewa wa hii kitu karibu, mchngo wako muhimu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.