Recent content by damuu250

  1. D

    Nahitaji mwanamke jamani

    Toa shaka mi mbongo tu
  2. D

    Nahitaji mwanamke jamani

    Miaka 25, Binti wa kiislam Maji ya kunde Urefu 5.5 Elimu -digrii Mjasiriamal Baada ya kupitia nilitopitia katika mahusiano sasa nahitaji nusra kutoka kwa kijana wa kiislam anaeijua dini, Umri wake uwe kuanzia miaka 29-35, Awe na shughuli maalumu. Sifa za kutafuta mchumba bora kwa imani ya...
  3. D

    Ni haki kumnyima kitendea kazi msahiliwa mwenzako wakati wa usahili?

    Hata mimi ningekunyima! Mtu akimaliza usahili anatoka nje, sasa yeye aache kuwahi ratiba zake akusubir wewe? Kwanza uaminifu hakuna siku izi ungetoroka nayo
  4. D

    Kibarua wa TANESCO

    Mmmmh! Sisi ndo tutamsaidiaje au yeye ndo aseme anataka msaada gani? Pesa? Tumbembelezee aajiriwe bila rushwa? Tuite takukuru akamatwe uyo alomuomba laki mbili? Tukatoe taarifa uongozi wa tanesco/wizara ya nishat? Tumtafutie ajira sehem nyinngine? Ama nini sasa anataka
  5. D

    Waliofukuzwa CHADEMA SAUT, Kesho kukabidhiwa kadi na Nape Nnauye

    Aya rudini darasan mkasome, nyie endekezen izo siasa zenu warumi wakiwachenjia msirud kulalamika hapa
  6. D

    Nifanye Nin Niipate Hii Kaz Ya Afisa Mkaguz Msaidizi Uhamiaji?

    Asante ata kwa sisi wengine tuliochaguliwaa umetuongezea kitu
  7. D

    Fursa kwa mtanzania

    Aya wale wa forever products nendeni mka-make bingo
  8. D

    ( Photos ) Most Beautiful Female Politicians In Tanzania

    Hata mimi macho yangu kama yako kwakweli
  9. D

    Saikolojia ya nguo fupi na zinazobana(tight) na kuacha manyonyo nje.

    Sina uhakika kwa hili kwa sabbabu kuna wanaume hawapendi kabsa wanawakr wanaovaa nguo za kuonyesha miili yao na wanatupenda sana sisi wavaa stara ka tupo oman
  10. D

    Mitandao mipya ni hatari sana

    Polenii mlotapeliwa pesa zenu, ila siku nyingine muwe makini na mkiambiwa ni hatar chunguzeni kwa umakini. Na wale mlioshawishiwa na masupastaa kamma JOYCE KIRIA kawadaini sasa......teh teh
  11. D

    Hili ni tatizo la kisaikolojia ama?

    Asanteni sana kwa wote mliochangia kunipa mawazo, ntachanganua lipi linifaalo kati ya haya na mengine niliyoyapata kwa watu wangu wa karibu na kuyafanyia kazi. Shukran sana
  12. D

    Jina lako kamili ni nani?

    Jina langu Munira
  13. D

    Hili ni tatizo la kisaikolojia ama?

    Asante dr kwa ushaur ntaufanyia kazi. Ni kweli wasichana wengi wanapenda hao waty weupe, ila uyo kaka mzazi wake mmoja ni mwafrica na yy anamuonekano wa kiafrika tu.
  14. D

    Hili ni tatizo la kisaikolojia ama?

    Asante sana mankaM, I hope thngs will be okey
Back
Top Bottom