Hili ni tatizo la kisaikolojia ama?

Hili ni tatizo la kisaikolojia ama?

Pole sana aisee hapo hakuna uwezekano wa kurudiana nae coz ameshaoa. kilichobaki binti ni kukubaliana na hali hiyo.

Utampata tu wako na mtapendana vizur tu. kuwa na mahusiano na mtu kwa muda mrefu haimaanishi utakuwa nae milele coz kuna kutengana, kupotezana, kuna kifo.

hzo ni changamoto cha msing ni kusonga mbele hakika utamsahau na mambo yataenda fresh furaha yako itarud.

Asante sana mankaM, I hope thngs will be okey
 
Mimi hua nashangaa,mabinti wengi wanapenda kushobokea wanaume wa kiarabu.Ni ngum sana Mwarabu au Muhindi kumuoa binti mweusi mwenye asili ya Tanzania (Afrika).Wanaishia tu kuwatumia ila wao huoana wao Kwa wao.Pole dada muone mwanasaikolojia atakusaidia la sivo utagawa Kwa kila rika maisha yako yote.

Asante dr kwa ushaur ntaufanyia kazi. Ni kweli wasichana wengi wanapenda hao waty weupe, ila uyo kaka mzazi wake mmoja ni mwafrica na yy anamuonekano wa kiafrika tu.
 
Mimi ni binti wa miaka 25, nilianza mapenzi miaka kadhaa iliyopita na kaka mmoja ambae tulikuwa na tofaut ya miaka saba.
Uyo kaka nilimpenda sana kuliko neno sana lenyewe lilivyo, na sikuwahi kuwaza mwanaume yoyote zaid yake.
Kwa kufupisha stor, aftr seven yrs ya mahusiano nikiwa nimemaliza chuo bf alitafutiwa mchumba kwao (ni kama tamaduni zao kutafutiwa mwanamkr ambae familia inamjua na awe wa asili yao-mwarabu/mchanganyiko wa kiasia) .
Niliumia sana kwa sababu kwanza boyfriend hakuonyesha msimamo wowote ni kama alikuwa anajua nini kitakuja kutokea mbeleni. Nikaamua niachane nae japo nilikuwa kama chizi kwa muda.
Tatizo sasa nashindwa kumuamini mwanaume yoyote, sina imani na mapenzi ya kweli tena. Na tangu niachane na x wangu nimeshadate na wanaume wawili na wote najikuta tu nastopisha mahusiano bila sababu maalumu. Watu wangu wakaribu wananiambia nna matatizo ya kisaikolojia kutoka na situation iliyotokea kwenye mahusiano yaliyopita.

Wanajamvi especial wanawake wenzangu mshaexperience hii situation? Kama kweli ni tatizo la kisaikolojia naombeni msaada wenu kimawazo niwe sawa, sio kwamba sipendi kuwa katika mahusiano ya tena ila nakosa imani kabsaaaa mwanaume nahisi kusalitiwa tuuuuu mwisho wa siku naamua kumpotezea.

N.B: SITAFUTI BF HUMU JAMVINI, NIMESHARE TU TATIZO LANGU(nimejisikia confortable kushare na watu ambao hawanijui siwajui ) NA KUPATA MAWAZO YENU NA USHAURI.

Shukran!

Hakuna wa kukusaidia kama wewe mwenyewe hujasema "now Im moving on!) la sivyo utabaki hivyohivyo kuachwa kugumu, so kubali tuu
 
Asante grace, kweli aya mapenzi yanarun dunia
pole sana dada d, mapenzi ni sawa na magnet, lazima utakuwa hujapata wa kukuvuta kwake.

sio mbaya kama ukipata hata mmoja humu wa kukupa kampani mamii... kuwa na moyo, usiogope kitu mrembo wetu!

thubutu kupenda tena na tena...
 
Yani hapa ndipo huwa huwa nawonea huruma wadada, akifikia hatua hii anageuka anakuwa malaya! Yani yeye kila atakae kuja twende! Nmeona wadada wengi tu, akiachwa na mtu alaiye kuwa anampenda, ana kuwa kiwembe balaa, ni kama hali ya kukata tamaa hivi kwamba mimi ni mtu wa kutiwa na kuachwa tu..
 
Mahaba niue,shost hujazaliwa na huyo jamaa,kwanza shukuru amekuacha mwanaume gani hana msimamo wala maamuzi,songa mbele na maisha yako,jikip busy kwa sana
 
ur the source of solution nitahidi kusahau tu utamake, pole sana
 
Sio kila relationship lazima izae ndoa .amka pukuta vumbi move on stop being too much negative maana utakuwa unajidefend hata sehemu uliyo salama
 
Asanteni sana kwa wote mliochangia kunipa mawazo, ntachanganua lipi linifaalo kati ya haya na mengine niliyoyapata kwa watu wangu wa karibu na kuyafanyia kazi.

Shukran sana
 
Back
Top Bottom