Recent content by damien Baghonic

  1. D

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    MUNGU wa mbinguni atetee afya yake, watanzania wapenda Aman tuko nyuma yake katika maombi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

    Huyo Dada Nampa pole, hakujua kua c kila mwanaume anafaa kuwa mme.. Wengine magume dume. Huyo Dada ni mjenz mwema, angekua nyang'au angetoa mimba na kuendelea na mambo yake. Ila kwakua analenga kujenga Familia Ana hofu ya MUNGU ndo maana hakutoa mimba. Ila mti alioutumainia sasa.. Duhhhhhhhhhhh...
  3. D

    Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

    We akili yako ni nyehu.. Huyo mwanamke Ana Nia ya kujenga Familia ndo maana Hana mpango wa kutoa mimba.. Ila we ndo wenge.. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Lowassa azomewa na vijana wazalendo Morogoro

    Weka picha.. Tuone ili kukupunguzia matusi
  5. D

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Sheria inaruhusu.. Ndio maana wanafanya kupoteza mda
  6. D

    Natafuta mume anayetaka mwanamke bikira

    Kabila mhangaza..
  7. D

    Natafuta mume anayetaka mwanamke bikira

    We unaetafta mme mbona hunibeep tu angalau nisikie saut yako
  8. D

    Natafuta mume anayetaka mwanamke bikira

    Wewe unaetafta mme.. Kwa dhati na ukweli wa moyo wako, nitaft kwa no.. 0789211111 mimi ni kijana mwenye miaka34.. Nafanya biashara na naishi mwanza. Ni mkristo.. Karibu tutafte maisha.. Kama kweli una nia hiyo toka moyoni.
  9. D

    Natafuta mume anayetaka mwanamke bikira

    Hakuna cha ubkra haopo ni utapeli tu.. Nimetumiwa sms na mtu anahoji eti wewe unatafta mchumba? Nilipojibu ndio akasema sawa, najaribu kutuma mpesa linakuja jina la kharid mganga.. Naangalia wasap profile ni picha ya mwanamme.. Huyu jamaa atakuwa ni chasies no shoga.
  10. D

    Yaliyojiri Mikutano ya Dr. Magufuli, Dar es Salaam (Kigamboni, Mbagala, Temeke, Ubungo, Kinondoni)

    Watu wanavushwa kwenye pantoni toka juzi, kutoka morogoro, bagamoyo, tg, pwani yote na mkuranga. Unasema eti watu wamelala.. Wakati hao waliotoka nje ya dara hawana pa kulala.. Na kula
  11. D

    Yaliyojiri Mikutano ya Dr. Magufuli, Dar es Salaam (Kigamboni, Mbagala, Temeke, Ubungo, Kinondoni)

    Weee.. Kama umepewa buku20 kadanganye wajinga, kigamboni hakuna ccm, alishawambia wapige mbizi leo ana jipya gani?
  12. D

    Mikutano ya Lowassa Ngorongoro, Kilindi, Handeni na Tanga Mjini - Oktoba 21, 2015

    Kuna tetesi kuwa mwanza anarudi rais wetu, nipeni ukweli wana ukawa ambao mnataarifa zaidi.. Na kuhusu mama yetu Regina lowasa, nae atakuja mza lini?
  13. D

    Natafuta mume anayetaka mwanamke bikira

    Nitafte kwa 0789211111. Nina miaka 34, nafanya biashara, naishi mwanza. Karibu bikra
  14. D

    TV stations za Kenya na Uganda zina upendeleo sana kwa Lowassa, kwanini?

    Reporters wake wapo ktk mikutano huonagi mic zao?
  15. D

    Magufuli azomewa Mwanza

    Nitumie kwenye 0789211111 plseeeee.... Faster
Back
Top Bottom