barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Je tutaweza kutesti kwanza ili kujiridhisha? Maana siku hizi zipo za kichina.
Una bikra ya wapi?
ZA JIONI WADAU.
NAJUA KUA WANAUME WENGI SIKU IZI HAWATAKI WANAWAKE BIKIRA, KWAIYO HII NI KWA WALE TU WANAOHITAJI MKE BIKIRA. Sifa zangu, miaka 27, nina kazi inayoniingizia kipato, mkristo.
Sifa za mume ninayemtaka miaka kuanzia 29 mpaka 34, mkristo, awe na kazi au shughuli inayomwingizia kipato. KASHFA NA KEJELI NAOMBA ZISIWEPO, HII NI KWA AJILI YA WALE WENYE MALENGO NA UHITAJI WA MTU KAMA MIMI, NJOO PM ILI TUWEZE KUFAHAMIANA VIZURI.
GOD BE WITH YOU ALL!
ZA JIONI WADAU.
NAJUA KUA WANAUME WENGI SIKU IZI HAWATAKI WANAWAKE BIKIRA, KWAIYO HII NI KWA WALE TU WANAOHITAJI MKE BIKIRA. Sifa zangu, miaka 27, nina kazi inayoniingizia kipato, mkristo.
Sifa za mume ninayemtaka miaka kuanzia 29 mpaka 34, mkristo, awe na kazi au shughuli inayomwingizia kipato. KASHFA NA KEJELI NAOMBA ZISIWEPO, HII NI KWA AJILI YA WALE WENYE MALENGO NA UHITAJI WA MTU KAMA MIMI, NJOO PM ILI TUWEZE KUFAHAMIANA VIZURI.
GOD BE WITH YOU ALL!
Hivi kuna mtu keshawahi kufanikiwa kupata mke/mume humu?
I'm sorry, ila hii tone ipo kiume balaa. Wapo wanamama walio hivyo tho.
Yaani ipo kiume 100%.Wakati namaliza para ya kwanza, nilijua kitachofuata ni maelezo ya kwamba yeye ni wakala (kuwadi), nimeshtuka alivyosema ni yeye!
unazungumzia bikra ya mbele au nyuma
Tuwasiliane