Magufuli azomewa Mwanza

Magufuli azomewa Mwanza

Nadhani hii ni mara ya pili au ya tatu kwa Waziri wa ujenzi Kuzomewa zomewa. Hii sio ishara nzuri hata kidogo. Ningeshauri ajaribu kuepuka kusimamisha msafara wake sehemu ambazo hajaandaliwa watu wa kuwahutubia. Sehemu nyingi hakubariki.
 
Atajuta kuukimbia mdahalo.
Mwache aipate joto ya jiwe mie nacheka tu.
 
Mwisho wa kutuita wanywa viroba jumapili.

Mi nimeangalia Live Misungwi sijaona hiyo kitu ila kuna mpango huwa unaandaliwa na ukawa kuandaa kakundi ka wajinga wachache na kuwalipa hela ili waigize japo kwa dakika chache na mtu huwa anarekodi ili kujaribu kumchafua magufulia lakini wananchi wameshafanya maamuzi na mnazidi kuwatia hasira hata waliokuwa hawana haja ya kumchagua sasa watamchagua Magufuli kwani ndie amiri jeshi ajaye, sio huyo wa kwenu sijui hata gwaride sijui kama anaweza kukagua! HAPA KAZI TU!
 
Naona sasa nguvu ya fiesta imezidiwa na nguvu ya umma na wameamua kufanya outsourcing ya wasanii.
Nasikia show za Chameleone huwa zinaanzia $25,000. Ngoja wahusika watatupa hesabu ya jinsi wanavyoongeza deni la taifa katika kuinogesha fiesta.

Chamachamapinduz...CCM
Chamachamapinduz...CCM

Where are the critics again?
After a Great Dinner with the His Excellency President of Uganda, Gone to Tanzania for my CCM obligations toooo. . Never let people customize you in their interests. It's life so do what makes you happy!!!!
LEONE ISLAND MUSIC EMPIRE
 
Magufuli, anajua wananchi hawamtaki... anaongea tu... CCM out..!!

Bado wiki moja tukombolewe..!!!
Wakoloni weusi CCM wamemaliza nchi yetu... wezi wakubwa..!!
 
Leo katika hali isiyo ya kawaida mgombea urais wa ccm amepata shubiri ya wimbi la wana Mabadiliko baada ya kusimama na kujaribu kuwahutubia wananchi ambao walionekana kutotaka kabisa kuisikia sauti yake na kuanza kuimba kwa sauti kubwa Lowassa Lowassa Lowassa huku wakipeperusha bendera za CHADEMA na kumuonesha ishara ya vidole viwili.
Pamoja na kujifanya kichwa ngumu na kuadelea kuwahutubia uvumilivu ulimshinda baada ya kuona hakuna anayemsikiliza na kuamua kutimua mbio yeye na msafara wake.



Video ninayo whatp inazingua kuweka nipe number nikutumie.


Plz nitumie 0687432508
 
Last edited by a moderator:
Mbeya walimzomea ahadi za mbeya kazipeleka mwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom