Jema si jema lisipo pema!
Ni vyema tukajifunza na kuzingatia maadili ya uongozi tunapo pata fursa ya kuwa viongozi,
Yawezekana Mwamba alikuwa sahii katika hoja yake ya msingi, ila je aliiwakilisha kwa usahii na wakati sahii?
Uhu mtindo wa kukurupuka kwenye vyombo vya habari wakati zipo njia...
, Bahati mbaya watu wa Ruvuma sio watu wa majigmbo na showoff kiasili kama ilivyo kwa watani zangu wakina nshomile..!
Watu wa ruvuma ni watu wa kukimbiza mwizi kimya kimya, kutokana na unyenyekevu wa kikatoliki ulio watawala,
Wapo wajomba zangu wamatengo kutoka wilaya ya mbinga (wazee wa kazi)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.