Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,346
- 7,169
Kaka unaishi Marekani nini?Donald Trump ndio raisi pekee asiyetokana na familia mbili tajiri za marekani ambazo huamua nani awe raisi,Rothschild &Rockefeller (Kingmakers).Anapata tabu sana kuongoza kwa kukataa kulamba viatu Vya hao mabwana.Trump anapendwa sana na wananchi wa marekani,ndio kinachomuweka hapo kwenye kiti cha uraisi!