NAHITAJI SHAMBA LA KUNUNUA

MR UNINFORMED

JF-Expert Member
Sep 8, 2013
1,067
1,201
Salaam!

Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5.

Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa.

Mwenye nalo aje inbox.

Asante.
 
Ingekuwa maeneo ya MOROGORO ningekupa location mzee baba heka 10 na mto umekatiza katikati ya shamba
 
Salaam!

Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5.

Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa.

Mwenye nalo aje inbox.

Asante.
Ulisha pata mkuu?
Budget yako kiasi gani? (maana unaweza pata kubwa zaidi - kulingana na budget yako)
 
Salaam!

Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5.

Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa.

Mwenye nalo aje inbox.

Asante.
ninalo Kisarawe eka. 10
 
Back
Top Bottom