Private-eye
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 1,069
- 1,211
Salaam!
Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5.
Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa.
Mwenye nalo aje inbox.
Asante.
Nahitaji shamba la kununua maeneo ya mkuranga. Ukubwa usizid heka 10 wala kupungua heka 5.
Umbali toka barabara kuu usizidi kilometa 5. Bei maelewano....vigezo na masharti kuzingatiwa.
Mwenye nalo aje inbox.
Asante.