Unapoambiwa unapewa bure haimanishi lazima upewe buree, kinachofanyika ni punguzo kwa kiasi kikubwa sana, kwa mfano debe moja la mahidi unaweza linunua kwa sh1000 badala ya 15000, na hali ikiwa mbaya sana, huweza kugawiwa buree, ila hili la punguzo la bei, limeonekana maeneo mengi ktk taifa hili...
Mi nadhani kwa maoni yangu, hawajafanya lolote, ile ni taaluma ambayo mtu kasomea na hivyo ipo kichwani mwake na sio kwenye leseni,
Kizuri zaidi chombo husika kinachotakiwa kumfutia leseni hiyo hakijahusika na hivyo kinamtambua kuwa bado ni daktari halali, kama wana uwezo watoe elimu yake...
Moja kati ya agenda kuu ya watanzania ilipaswa kuwa katiba mpya ila kwa bahati mbaya, suala hili halina msukumo wa kutosha na kwa maoni yangu wanaharakati na vyama vya upinzani walipaswa kulifanya hili kama mboni ya jicho kabla ya 2020.
Alichokifanya rais ametimiza matakwa ya katiba ya sasa...
Nikushukru kwanza kwakuwa muwazi na tatizo linalokusumbua, pia nikupongeze kwa kumgeukia Mungu wako,
Kwa maoni yangu kwakuwa umemgeukia Mungu wako, ni vema ukaendelea kuwa imara katika hilo kwa kuwa huko nako kuna mabinti wazuri,
Jitahidi kufanya urafiki chanya na mabinti wengi hususani wa...
Nianzee kwa kusema kuwa Pengo ni binadamu, anakosea kama binadamu wengine, na hivyo anapaswa kukosolewa ili mradi busara itumike katika kukosolewa.
Huwa inanipa wasiwasi mkubwa pale viongozi wakubwa wa kisiasa wanapotengeneza urafiki wa karibu na viongozi wakubwa wa madhehebuuu, ukifatilia...
Katiba mpya inahitajika lakini siyo walioiacha kiporo bila kuimaliza pale bungeni, tunahitaji iliyopendekezwa na wananchi chini ya jaji Sinde Warioba, watwambie iko wapi
Pamoja na yote serikali hii haiwezi ikakuleteaa katiba mpya ile hali unaongelea ukiwa chumbani.
Ni vema kuishi dak 1, katika...
Kwa nini amemuacha Makamu wake wakati nayee kastaafuu wakati alidai mtu hataweza kuongezewa muda mara baada ya kustaafu.
Hakuna jipya zaidi ya kutumia mtandaoo yetu kupaza sauti KATIBA MPYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.