Nahitaji msaada wa kisaikolojia

Kama unayo nia ya kweli nenda hospital ukawaone wana saikolojia na mshirikishe mwenyezi Mungu pia

Humu jf sina uhakika sana kama utapata msaada kirahisi rahisi hivyo maana tatizo lako kubwa asee
Siwezi end hospital kwa tatizo LA hilo,naanzaje anzaje?
 
Tafuta demu fast a,nyege zitakusumbua na utajikuta unarudi Kule kule.

Pia isitoshe mapunga wapo wengi wanaowatafuta watu Kama nyie na inavoonekana hutoweza kukataa
 
habari wanajukwaa?

kwa umri ni miaka 24,kama kichwa cha khabary kinavojieleza,matatizo yangu yalianza baada ya kumaliza form 4 2010.

kipindi namaliza form 4 bado niko innocent and pure,sijawahi kua hata na gf wala sikuwahi kufanya ngono nikaajingiza katika janga la mitandao ya kijamii kutafuta mwanamke.nilianza na mtandao wa eskimi ambao huo huo uliniletea balaa hili.

nikiwa nishapata girls wawili watatu wa kuchat nao na kupigiana simu ila kuonana nao ilikua mbinde maana nlikua sina kitu,kukawa na mshkaji mmoja pia nachat nae huyo mshkaji akaanza kuniletea vishawishi kuhusu mambo ya kumla goti,jamaa alitumia ushawishi wa hali ya juu kwa kuchat na mimi kunifanya niweze kutamani kumla goti bila hata kuonana,huku mazoea na wale girls yakapungua mi nikawa nachaat na mshkaji daily.

siku ya kwanza tulionana morroco kwenye burger,jamaa ni shombeshombe umri kwenye 30s alikuja na gari.baada ya kula burger na juisi nikaingia kwenye gari mpaka kwenye apartment yake upanga,tukiwa njiani aliweza kunichezea nyeti zangu na kunitia mshawasha na baada ya kuingia huko ndani ndo ikawa siku yangu ya kwanza,kuzini,kula goti na kuingia katika dhambi kubwa kabisa.

Toka siku hiyo mshkaji ndo akawa kama mwanamke wangu,kwa kutumia ushawishi wake wa mali na utoto wangu alizidi kunitumia kwa kuniita kila akijiskia na kunifanyisha vitendo vichafu,nilienjoy sana pamoja na kusahau kabisa kuhusu wanawake na kua homosexual completely.

baada ya matokeo kutoka na kuchaguliwa kuendelea a level shule flani hivi ya boarding,mawasiliano yalikata mimi na mshkaji kwakuwa nlikua sina simu ila kipindi cha likizo ilikua kama kawa,tuliendelea na tabia hiyo chafu tena kwa ufanisi zaidi pale nliporudi dar kuendelea na chuo hapo ndo nkahamia kwake kabisa tena na kujisahau kama mimi nimeumbwa kwa ajili ya mwanamke.nkawa hata nkicheki porno basi ni za gays.kwakua mshkaji pia alikua anafanya siri na huwezi kumjua kwa sura basi mambo yetu yakawa chinichini bila kujulikana.

mpaka mwaka jana mungu alipoamua kuniadhibu,chuo nlifeli nkashindwa kuendelea,rafiki wangu wa karibu alinistukia na akanitenga na kuntangazia,wazazi hawajui ila wamenichukia sna kwa kufeli chuo,mambo yangu yote yalikata nkawa nimefulia sina hata mia,Cha kusikitisha zaidi ni huyo mshkaji alieniiingiza kwenye haya yote alifariki kwa ajali mwaka jana pia,baada ya hayo yote nikaamua kumrudia allah na kutubu na kulia sana na kujuta sana hatimaye mwaka huu nkapata kazi ya kujishkiza.

Tatizo nililonalo sasa iv ni kua nimeshaathirika na uhomosexual,nkiwaza chochote kuhusu ngono nawaza kumla mwanaume mwenzangu sababu sina memory ya kudo na msichana.na kwa wasichana kusema kweli ni domo zege na wala sina mpango nao.

nahitaji msaada niweze usahau kabisa uhomosexual na kua pure na niwe kama wanaume wa kawaida..nahitaji msaada wenu wakuu sitaki nife mchafu.

asanteni sana.
Nikushukru kwanza kwakuwa muwazi na tatizo linalokusumbua, pia nikupongeze kwa kumgeukia Mungu wako,
Kwa maoni yangu kwakuwa umemgeukia Mungu wako, ni vema ukaendelea kuwa imara katika hilo kwa kuwa huko nako kuna mabinti wazuri,
Jitahidi kufanya urafiki chanya na mabinti wengi hususani wa upande uliouchagua kumbuka ulikwisha tubu kwa Mungu wako, naamini kwakujenga mahusiano chanya na mabinti hao Mungu wako atakupa hamu yakuweza kupata hamu kwa watoto wa kike kama ilivyohamu ya moyo wako kwa sasa.
Hongera kwa hatua uliyoichukua na Mungu atakusaidia na utakuwa vizuri,
Amini Mungu wako hakuna lisilowezekana huku ukijitahidi kutengeneza urafiki chanya na mabinti wengi.
 
Kwanza pole kwa hilo.....nafurahi kusikia kwamba willingly unahitaji kupona kutoka ktk tatizo...maana kwamba umeshajitambua....kuwa muwaz kwako ndipo kutakapokuokoa....thats very good....Situation yako inaeleweka kwa urahis na utatengamaa.....lkn hapa jamii forum nikueleze tuu iwe kama mbao ya matangazo kwa issue yako....na usitegemee kupona kupitia hapa....humu kuna kila aina ya personality....mfano wapo wenye postv thnkn na wwnye neg pia...waliobobea ktk maudhi wapo pia...sasa hawa watakuangusha.....its not a bg deal....TAMBULISHA UPO MKOA GANI KWA SASA.....NIONE KAMA NAWEZA KUKUSAIDIA MM AU PSYCHOLOGIST MWENZANGU.....issue yako inahitaji Counselling Sessions ya ana kwa Ana siwez kukuambia zitakuwa ngapi....nitaangalia uponaji wako ktk hili.....na utakuwa vizur hutaweza amini. Karibu sana.
 
Kwanza nikupe pole ila jinsi ya kukushauri kuacha hicho kitendo siwezi kwa kuwa kimeingia kwenye ubongo wako. Cha muhimu ni kuacha kutumia simu ya smartphone maana utaeupuka kuangalia porno. Pili usipende kukaa na vijana hasa wadogo maana kwa akili yako unaweza kuwashawishi kufanya hilo tendo. Tatu usichart wala kuzoeana na mashoga. Nne jaribu kuwa karibu na girls
 
Nikushukru kwanza kwakuwa muwazi na tatizo linalokusumbua, pia nikupongeze kwa kumgeukia Mungu wako,
Kwa maoni yangu kwakuwa umemgeukia Mungu wako, ni vema ukaendelea kuwa imara katika hilo kwa kuwa huko nako kuna mabinti wazuri,
Jitahidi kufanya urafiki chanya na mabinti wengi hususani wa upande uliouchagua kumbuka ulikwisha tubu kwa Mungu wako, naamini kwakujenga mahusiano chanya na mabinti hao Mungu wako atakupa hamu yakuweza kupata hamu kwa watoto wa kike kama ilivyohamu ya moyo wako kwa sasa.
Hongera kwa hatua uliyoichukua na Mungu atakusaidia na utakuwa vizuri,
Amini Mungu wako hakuna lisilowezekana huku ukijitahidi kutengeneza urafiki chanya na mabinti wengi.
Nashkuru sana
 
Kwanza pole kwa hilo.....nafurahi kusikia kwamba willingly unahitaji kupona kutoka ktk tatizo...maana kwamba umeshajitambua....kuwa muwaz kwako ndipo kutakapokuokoa....thats very good....Situation yako inaeleweka kwa urahis na utatengamaa.....lkn hapa jamii forum nikueleze tuu iwe kama mbao ya matangazo kwa issue yako....na usitegemee kupona kupitia hapa....humu kuna kila aina ya personality....mfano wapo wenye postv thnkn na wwnye neg pia...waliobobea ktk maudhi wapo pia...sasa hawa watakuangusha.....its not a bg deal....TAMBULISHA UPO MKOA GANI KWA SASA.....NIONE KAMA NAWEZA KUKUSAIDIA MM AU PSYCHOLOGIST MWENZANGU.....issue yako inahitaji Counselling Sessions ya ana kwa Ana siwez kukuambia zitakuwa ngapi....nitaangalia uponaji wako ktk hili.....na utakuwa vizur hutaweza amini. Karibu sana.
Napatikana dar es salaam,ntashkuru Sana mkuu
 
Kwanza nikupe pole ila jinsi ya kukushauri kuacha hicho kitendo siwezi kwa kuwa kimeingia kwenye ubongo wako. Cha muhimu ni kuacha kutumia simu ya smartphone maana utaeupuka kuangalia porno. Pili usipende kukaa na vijana hasa wadogo maana kwa akili yako unaweza kuwashawishi kufanya hilo tendo. Tatu usichart wala kuzoeana na mashoga. Nne jaribu kuwa karibu na girls
asante kwa ushauri Ila sijawahi kua na mahusiano na gaya wengine zaidi ya huyo..
 
Hebu kwanza jione kama ni mwanaume ambae umekamilika kisha acha kuwaza juu ya hilo tatizo ambalo sasa hivi ni la kihstoria.

Naomba kaa utafakari na utafute mwanamke ambae utampenda kaa nae kama mpenzi wako mimi naamini hakuna mapenz matamu zaidi ya KE na ME ,najua utafurahi sana
 
Pole sana, Mungu akusaidie tu, ila umemtandika jamaa! Huwa mnapata wapi ujasiri huo?
 
Mmhh cjui ata nikushauri nini...... Mrudie mungu wako kwa nguvu zoote na ujutie ulichokifanya..... Usikimbilie kua na mahusiano kwa sasa .... Jipe mda kidogo..... Pia jitengenezee connection na wanawake uwe karibu nao tuuu ila so kimahusiano ili uweze kuwazoea na kubadilishana mawazo
 
i feel you bro,hapo ni kutafuta kitu cha kudistract alafu uache kuangalia porno kwani zinazidi kukutamanisha
 
Mmhh cjui ata nikushauri nini...... Mrudie mungu wako kwa nguvu zoote na ujutie ulichokifanya..... Usikimbilie kua na mahusiano kwa sasa .... Jipe mda kidogo..... Pia jitengenezee connection na wanawake uwe karibu nao tuuu ila so kimahusiano ili uweze kuwazoea na kubadilishana mawazo
asante sana,nina mda mrefu nipo lonely na single,je mda sahihi kwangu wa kua katika mahusiano utakua upi sasa?
 
asante sana,nina mda mrefu nipo lonely na single,je mda sahihi kwangu wa kua katika mahusiano utakua upi sasa?
Usiharakishe kuingia kwenye mahusiano..... Pumzika ata miaka miwili.... Lkn kwenye iyo miaka miwili jitengenezee networking na wanawake ambao ni wastaarabu kwa kadri uwezavyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom