Rais Magufuli amteua Jaji Semistocles Kaijage kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi

646474849494985757575839340 acha namba zisomeke ipo siku watu wataona umuhimu wa katiba Mpya,mwaka mzima na siku bado tunateua kazi za kujenga viwandaa zitaanza 2019
 
Mgombea anateua refa.

Only in Africa.

Na mbaya zaidi, hakuna chombo kingine chochote kile hata cha kumuidhinisha.

Hata uteuzi wake hatujui Magufuli katumia kigezo au vigezo gani.

Inawezekana kabisa huyo jaji akawa ni mwana CCM [nahisi atakuwa ni mwana CCM tu...ona ya jaji Ramadhani].

Ingekuwa ni juu yangu mimi basi wapinzani wasingeshiriki chaguzi zote mpaka hapo tutaporekesbisha masuala kadhaa yahusuyo chaguzi.
 
Kila la Kheri Jaji Lubuva nitaikumbuka sana ile sauti yako wakati ukitangaza matokeo ya uchaguzi mwaka Jana....
 
Huyo mwenyekiti mpya eti ndo ataongoza chombo kitachosimamia, kuendesha, na kuratibu uchaguzi mkuu wa 2020 ambao huyo huyo Magufuli atagombea tena [kama akifuata ada ya waliomtangulia].

Imagine that!

The whole thing is a joke.
Bara la giza,tena giza totoro....Yaani mwenyekiti wa chama na ambaye pia ni mgombea,anamteua mwenyekiti,alafu huyo mwenyekiti aje akae kwenye hicho kiti anyanyue mdomo wake eti mshindi ni Lowassaaaa.Nitakunya kwenye ubwabwa alafu nitaula wote!
 
Nchi hii Watanzania wasipoamua CCM itatawala milele kwani haitatokea hata siku moja tume hii kumpa haki sawa mpinzani .Hacha tuendelee na maigizo ya chaguzi za kidemokrasia kila baada ya miaka mitano.
 
Bara la giza,tena giza totoro....Yaani mwenyekiti wa chama na ambaye pia ni mgombea,anamteua mwenyekiti,alafu huyo mwenyekiti aje akae kwenye hicho kiti anyanyue mdomo wake eti mshindi ni Lowassaaaa.Nitakunya kwenye ubwabwa alafu nitaula wote!

Halafu subiri sasa hiyo 2020 ifike....watu tutaohoji hiyo tume tutakuwa wawili watatu tu.

Walio wengi wala hawatahoji kabla ya matokeo kutangazwa....lakini yakishatangazwa ndo utawasikia wakilia.
 
Hiyo ndiyo tume ya uchaguzi ya Tanzania, tume inateuliwa na Mwenyekiti wa chama kimoja bila kuwashirikisha wenyeviti wa vyama vingine au bila kuitangaza hiyo nafasi ili wafanyiwe usaili wa haki
Mkuu, tume inateuliwa na Raisi, sio mwenyekiti wa chama
 
Kwa nini amemuacha Makamu wake wakati nayee kastaafuu wakati alidai mtu hataweza kuongezewa muda mara baada ya kustaafu.
Hakuna jipya zaidi ya kutumia mtandaoo yetu kupaza sauti KATIBA MPYA.
 
Back
Top Bottom