Mi mwenyewe nashangaa watu wanaoona ni muhimu kuoa agemates.
Mi mke wangu nimemzidi miaka 17 lkn naishi naye vizuri kabisa. She is a matured wife material.
Tunashauriana, tunataniana na kufanya utoto pamoja sometimes.
Ndoa Haina fomula. Kuna waliooana wakiwa agemates na wameishi kwa uaminifu...
Halafu mtu ukiwa masikini unaweza kuwa na masiriko Sana wakati hata kuku wanaweza kufanya mapenzi mbele yako na usiwafanye chochote.
Msamehe bure tu mkuu.
Mkuu, binadamu hatufanani ndo maana HUWEZI kumridhisha kila mtu. Mimi huo undani wa maisha yake na watu aliokutana nao kwangu raha Sana. Kuna vitu vingi navipata kupitia hizo details. Pole mkuu.
Kati ya kitu kinachonikera ni michango ya harusi. Huwa sichangii na sitaki watu waje wanichangie kwenye harusi yangu.
Uzuri ni kwamba my wife to be hana ulimbukeni wa kufanya show off.
Nitaalika marafiki wachache sana. Ukichanganya na ndugu zetu hawatazidi watu 20. Ndoa tunafunga asubuhi siku...
Wakristo na hasa madhehebu ya kipentekosti hufanya ndoa kuwa ngumu Sana kwa sababu ya harusi.
Cha msingi huyu mwenzako mkubaliane kuwa kutakuwa na ndoa bila harusi (kitu ambacho wasichana wengi huwa hawataki kusikia)
Akikubali inakuwa rahisi kuwashawishi wazazi wake.
Mi nina mchumba kwa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.