kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Miaka ya nyuma hapo nilikuwa na mwanamke mmoja kwenye mausiano uyo mwanamke alikuwa ananipenda saana
Lakini kwa upumbavu wangu sikujua thamani ya uyo mwanamke kwangu nikawa mtu ambaye na mtesa na post picha za wanawake wengine ili tu apate maumivu ya moyo lakini mwanamke uyo alinipenda na kuvumilia mabaya yote yangu
Lakini kuna siku alifika mwisho akachoka zake na kuachana na mimi
Baada ya kuachana ndo Nikaja kutambuwa thamani yake kwangu
Nikawa na fanya jitihada za kumrudisha ziligonga mwamba kabisa
Nilipambana kwa kipindi cha mwaka na nusu kumbembeleza huyu demu lakini ilishindikana
Nikaamua kupotezea tu
Baada ya kupita miaka miwili sasa toka niacha kumfatilia
Leo amekuja kunijibu kuwa yupo tayari kurudiana na mimi na kunishauri sijui hataki yale ya kale ya jirudie tena
Je wakubwa hapa kweli penzi lipo?
Na kama lipo je mwanamke ambaye uliwahi kumtesa na kuumiza moyo wake anachukuwa mda gani kusau mabaya ambayo uliwahi kumfanyia.?
Lakini kwa upumbavu wangu sikujua thamani ya uyo mwanamke kwangu nikawa mtu ambaye na mtesa na post picha za wanawake wengine ili tu apate maumivu ya moyo lakini mwanamke uyo alinipenda na kuvumilia mabaya yote yangu
Lakini kuna siku alifika mwisho akachoka zake na kuachana na mimi
Baada ya kuachana ndo Nikaja kutambuwa thamani yake kwangu
Nikawa na fanya jitihada za kumrudisha ziligonga mwamba kabisa
Nilipambana kwa kipindi cha mwaka na nusu kumbembeleza huyu demu lakini ilishindikana
Nikaamua kupotezea tu
Baada ya kupita miaka miwili sasa toka niacha kumfatilia
Leo amekuja kunijibu kuwa yupo tayari kurudiana na mimi na kunishauri sijui hataki yale ya kale ya jirudie tena
Je wakubwa hapa kweli penzi lipo?
Na kama lipo je mwanamke ambaye uliwahi kumtesa na kuumiza moyo wake anachukuwa mda gani kusau mabaya ambayo uliwahi kumfanyia.?