Hakuna mchepuko utakaokaa na wewe mwanaume katika hali kama hiyo. Tuwapende tu wake zetu hata kama wana mapungufu yao kwa sababu hata sisi wanaume tuna mapungufu yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa India New Delhi na Jaipur nili-experience hali hii. Ukikatika mtaani unaitwa Nyani na ukirudisha majibu, kwa mfano uwaite wao Nguruwe, basi utachezea kichapo.
Pale chuoni walitutahadharisha kuwa tusijibu chochote.
Ukiingia kwenye usafiri wa umma unaweza ukatolewa kwenye kiti kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.