Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Bashe anaipigania sura ya Ccm kwa wananchi,kuna watu wanatumia mgongo wa vyeo vyao kuharibu sura ya ccm kwa wananchi. Makonda anaichafua Ccm.
ULAANIWE , ULAANIWE ULAANIWE
Mwenyekiti wako alishakataa ushauri wa kwenye mamitandao.Ukweli ni jambo zuri sana kulisema, lakini uzalendo ni kitu bora zaidi kuliko kitu chochote kile.
Hussein Bashe wewe uko ndani ya CCM na ajabu wewe unaongoza kwa kuiponda CCM kuliko hata ambavyo unaviponda vyama vya upinzani. Katika siasa tabia kama hii haikubaliki hata kidogo.
Wana CCM tumekuwa tukikufuatilia kwa karibu sana, na matamko yako, yanaonesha wazi kabisa wewe siyo mzalendo kwa chama chako kilichokulea mpaka kukufikisha hapo ulipofika.
Inawezekana madai yako yakawa na ukweli ama la; lakini namna unavyoyawasilisha na mahali unapoyawasilisha siyo sahihi hata kidogo. Sidhani kama Mwenyekiti ataendelea kukuvumilia. Mimi nikiwa kama mwanachama wa CCM nimekerwa sana na matamshi yako unayoyatoa bungeni. Acha kutafuta cheap publicity!
Bashe wewe ni msaliti, tena inaonekana unatumiwa na CHADEMA sababu ulikuwa swahiba wa Lowassa. You are a traitor! You are a mole and you have to be removed!
Nakushauri Mwenyekiti wangu mpendwa na Rais wetu, ndugu John Pombe Magufuli, muondoe haraka sana huyu kijana ndani ya chama chetu sababu sasa ameshaota MAPEMBE. Bashe ni hatari sana kwa mustakabali wa chama chetu (CCM).
Hakuna chama chochote kile cha siasa hapa Tanzania ambacho kingemvumilia mwanachama kama BASHE! Mifano ipo mingi sana.
Mbaya zaidi anayoyaongea Bashe bungeni hayana faida yoyote ile kwa wananchi wa jimbo lake! Kazi yako Bashe ni kuwawakilisha wapiga kura wa NZEGA na siyo kupigana na CCM na serikali yake!
Mheshimiwa Rais; naomba uunde kamati maalumu ndani ya CCM kwa ajili ya kumchunguza huyu bwana mdogo. Anakoelekea siko kabisa na hatufai tena ndani ya chama chetu.
Mimi nina uhakika wa 90% hata kama tukimfukuza uanachama huyu msaliti BASHE, jimbo la NZEGA bado tutalichukua. Wakati ni sasa!
By Son of Gamba.
Kumbe uzalendo huwa si kwa nchi ni kwa ajili ya chama! Hahahahaa, sina mbavu
Ushauri huu lazima aufanyie kazi, wewe tega sikio usikie. It's just a matter of time.Mwenyekiti wako alishakataa ushauri wa kwenye mamitandao.
Mwenyekiti wako alishakataa ushauri wa kwenye mamitandao.
Na ukimshauri kwenye mamitandao ndo umeharibu kabisaaUshauri huu lazima aufanyie kazi, wewe tega sikio usikie. It's just a matter of time.

Asante kwa kunikumbusha mwambie naye afukuzwe, wengine asili yao wanyarwandaNa yule katibu wa chama chetu pendwa, siyo msomali yule?
Soma post yangu uelewe nilichoandika, acha kukurupuka. Siyo vibaya kukikosoa chama, lakini kuna vikao maalumu vya kufanya hivyo siyo kuropoka bungeni kama Bashe kwa kutafuta sifa kutoka kwa wapinzani.***
MTU ANAPOTOA VUMBI CHUMBANI MWAKE ANAFANYA JEMA AU OVU...!
•RAIS KILA SIKU ANAPIGA KELELE KWA KUTAKA NA KUITAFUTA CCM ILIYO SAFI / KWA UJINGA UNAONA BASHE ANAFANYA BAYA..../