Habarini,
Kwanza mnisamehe kwa kuwa nilikuwa ni tight kidogo na majukumu.
1. Control box ilikufa(Nimejiridhisha baada ya kwenda kupima sehemu nyingine).
2. Tatizo liliendelea kwa kuwa Control box mpya ilikuwa inapishana/haisomani na Nozzle. Hivyo ikabidi tubadilishe Nozzle mbili zilizokuja na...
Wakuu nashukuru sana kws ushauri wenu wa kwenye uzi pamoja na inbox nipende kuwajulisha kuwa tatizo langu limetatulika......ingawa nilichojifunza ni kuwa asilimia kubwa ya Mafundi wetu wana uwezo mdogo na hawataki kwenda na mabadiliko....Hakika mmeupiga mwingi mnooo [emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.