Kitangiri15
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 338
- 702
Pole
Wenzio tulikuwa tunahonga hadi laptop na bado mwisho wa siku baada ya karibu miaka07 ya mahusiano mtu anakwambia nimempata docta mwenzangu. I just moved on nikapata mwingine na kuoa ameni bless watoto 2 me na ke.
Upande wa pili jamaa alimdaganya kumbe alikuwa mme wa mtu.
Alipoona yameisha mapenzi kule akarudi kwangu analia nikasema stop .
Aliolewa tena lkn analia daily ule upando niliompa mwanzo haupati tena. Anasema nimsamehe labda nafsi itatulia nae afurahie maisha.
Thanks God.
Bro just move on
Wenzio tulikuwa tunahonga hadi laptop na bado mwisho wa siku baada ya karibu miaka07 ya mahusiano mtu anakwambia nimempata docta mwenzangu. I just moved on nikapata mwingine na kuoa ameni bless watoto 2 me na ke.
Upande wa pili jamaa alimdaganya kumbe alikuwa mme wa mtu.
Alipoona yameisha mapenzi kule akarudi kwangu analia nikasema stop .
Aliolewa tena lkn analia daily ule upando niliompa mwanzo haupati tena. Anasema nimsamehe labda nafsi itatulia nae afurahie maisha.
Thanks God.
Bro just move on