Msaada wa fundi mzuri wa Nissan Dualis

Yule mzee wa kukokotoa bili za ajabu hadi unashangaa katoka nazo wapi.
Duuh pole sana mzee...

Basi hapo kuna ishu mbili. May be umepeleka gari kwa ajili ya kitu flani then wao wanakufanyia inspection gari nzima so kuna vitu vinakuja wewe hukupanga kurekebisha ila mafundi wameona kuna shida. Hapa inakua choice yako....

Au service ndogo mtu anakupandishia bei ili unegotiate... Not sure of this..

But all in all ukiacha huo udhaifu kama upo ni fundi mzuri nayemsikia na anayejali wateja. Hata kama gari lisipopona atahangaika na wewe mpk tatzo liishe....
 
Wakuu nashukuru sana kws ushauri wenu wa kwenye uzi pamoja na inbox nipende kuwajulisha kuwa tatizo langu limetatulika......ingawa nilichojifunza ni kuwa asilimia kubwa ya Mafundi wetu wana uwezo mdogo na hawataki kwenda na mabadiliko....Hakika mmeupiga mwingi mnooo
 
Wakuu nashukuru sana kws ushauri wenu wa kwenye uzi pamoja na inbox nipende kuwajulisha kuwa tatizo langu limetatulika......ingawa nilichojifunza ni kuwa asilimia kubwa ya Mafundi wetu wana uwezo mdogo na hawataki kwenda na mabadiliko....Hakika mmeupiga mwingi mnooo
Shida ilikuwa ni nini mkuu...
Na ulitatuaje..
Tueleze ili isaidie wwngine watakaopata shida kama hiyo
 
Wakuu nashukuru sana kws ushauri wenu wa kwenye uzi pamoja na inbox nipende kuwajulisha kuwa tatizo langu limetatulika......ingawa nilichojifunza ni kuwa asilimia kubwa ya Mafundi wetu wana uwezo mdogo na hawataki kwenda na mabadiliko....Hakika mmeupiga mwingi mnooo
Majanga yalikuwa ni nini?!
 
Wakuu nashukuru sana kws ushauri wenu wa kwenye uzi pamoja na inbox nipende kuwajulisha kuwa tatizo langu limetatulika......ingawa nilichojifunza ni kuwa asilimia kubwa ya Mafundi wetu wana uwezo mdogo na hawataki kwenda na mabadiliko....Hakika mmeupiga mwingi mnooo
Mkuu kama hutojali ungeweka pia na mawasiliano ya fundi aliyetatua shida ya gari lako na anapopatikana ingesaidia na wengine leo na hata baadae. Maana kama mwenyewe ulivyokiri mafundi wengi uwezo mdogo so ukimtaja huyo fundi itasaidia kwa wengine kuokoa muda na pesa pia watakushukuru sana maana utakuwa umesaidia wengi
 
Mkuu kama hutojali ungeweka pia na mawasiliano ya fundi aliyetatua shida ya gari lako na anapopatikana ingesaidia na wengine leo na hata baadae. Maana kama mwenyewe ulivyokiri mafundi wengi uwezo mdogo so ukimtaja huyo fundi itasaidia kwa wengine kuokoa muda na pesa pia watakushukuru sana maana utakuwa umesaidia wengi
Sawa mkuu
 
Shida ilikuwa ni nini mkuu...
Na ulitatuaje..
Tueleze ili isaidie wwngine watakaopata shida kama hiyo
Mkuu kama hutojali ungeweka pia na mawasiliano ya fundi aliyetatua shida ya gari lako na anapopatikana ingesaidia na wengine leo na hata baadae. Maana kama mwenyewe ulivyokiri mafundi wengi uwezo mdogo so ukimtaja huyo fundi itasaidia kwa wengine kuokoa muda na pesa pia watakushukuru sana maana utakuwa umesaidia wengi
Sawa mkuu
Daah.....baada ya wadau kuomba utueleze ni nini ilikuwa changamoto na ulitatuaje ili iwe faida kwa wengine,
Umefunga mjadala kwa kusema "sawa mkuu"
 
Habarini,
Kwanza mnisamehe kwa kuwa nilikuwa ni tight kidogo na majukumu.

1. Control box ilikufa(Nimejiridhisha baada ya kwenda kupima sehemu nyingine).
2. Tatizo liliendelea kwa kuwa Control box mpya ilikuwa inapishana/haisomani na Nozzle. Hivyo ikabidi tubadilishe Nozzle mbili zilizokuja na Gari(Matengenezo ya awali nilibadili Nozzle 2)
3. Baada ya Matengenezo hayo ikatumika Diagnosis tool kwa ajili ya Kufuta errors.

Baada ya hayo yote Gari imetulia

NILICHOJIFUNZA
Mafundi wetu bado ni Tatizo (Tatizo dogo ninetumia muda mrefu na Gharama kubwa) ndio maana napata ukakasi kushare contact kwakuwa waliotatua ndio waliokosea Mwanzoni hivyo kama nikikupa contact ujue ni AT YOUR OWN RISK
 
Habarini,
Kwanza mnisamehe kwa kuwa nilikuwa ni tight kidogo na majukumu.

1. Control box ilikufa(Nimejiridhisha baada ya kwenda kupima sehemu nyingine).
2. Tatizo liliendelea kwa kuwa Control box mpya ilikuwa inapishana/haisomani na Nozzle. Hivyo ikabidi tubadilishe Nozzle mbili zilizokuja na Gari(Matengenezo ya awali nilibadili Nozzle 2)
3. Baada ya Matengenezo hayo ikatumika Diagnosis tool kwa ajili ya Kufuta errors.

Baada ya hayo yote Gari imetulia

NILICHOJIFUNZA
Mafundi wetu bado ni Tatizo (Tatizo dogo ninetumia muda mrefu na Gharama kubwa) ndio maana napata ukakasi kushare contact kwakuwa waliotatua ndio waliokosea Mwanzoni hivyo kama nikikupa contact ujue ni AT YOUR OWN RISK
Point namba 2.

Mlitakiwa kuregister hizo nozzle Yaani injector coding.

Next time unaweza kubadili nozzle mpaka kichwa kiume na tatizo likawa bado lipo.
 
Habarini,
Kwanza mnisamehe kwa kuwa nilikuwa ni tight kidogo na majukumu.

1. Control box ilikufa(Nimejiridhisha baada ya kwenda kupima sehemu nyingine).
2. Tatizo liliendelea kwa kuwa Control box mpya ilikuwa inapishana/haisomani na Nozzle. Hivyo ikabidi tubadilishe Nozzle mbili zilizokuja na Gari(Matengenezo ya awali nilibadili Nozzle 2)
3. Baada ya Matengenezo hayo ikatumika Diagnosis tool kwa ajili ya Kufuta errors.

Baada ya hayo yote Gari imetulia

NILICHOJIFUNZA
Mafundi wetu bado ni Tatizo (Tatizo dogo ninetumia muda mrefu na Gharama kubwa) ndio maana napata ukakasi kushare contact kwakuwa waliotatua ndio waliokosea Mwanzoni hivyo kama nikikupa contact ujue ni AT YOUR OWN RISK
Sijapenda kabisa tabia yake hii. Amekataa kushare nasi alichokuta huko.....
Naona alikuja kujibu baada ya watu kuuliza sana
 
Back
Top Bottom